Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Nimekuuliza swali...Hizo kura zitaitishwa katika kikao gani?
Nani atakuwa mwenyekiti wa hiko kikao hicho
Nilikuwa namuelewesha Member katika Post yake kuwa huko St Gasper kulikuwa na fujo kuanzia asubuhi na lengo la hao watu ni kugawa mlungula watu wamkatae Mkiti kwa kutokuwa na imani naye ili wamvurugie Membe na Magufuli
ndio maana nikasema mpango uliobaki ni kuvuruga tu NA HILO HAWATAAMBULIA
WANAUMBUKA km sasa wamekamatwa na ,apesa na Membe kakanusha
attachment.php


attachment.php

attachment.php
 
Rais kupitia ccm anachaguliwa na familia na kuamuliwa na hao tekweki family.
Ukawa pambaneni tutumie nafasi hii kuiangusha ccm.
 
hueleweki ndugu naona ushapanic, hatuchagui machifu hapa, Familia Familia ndo nini???
Wakati wa kumpitisha A man Karume hilo la kichifu hamkuliona ila mnaliona la kumienzi Nyerere ndo kuna uchifu! na hii ndo mantiki ya mada hii mkuu.
Lakini nikusaidie, mimu sishikiwi akiri na mtu katika kusema na kuenzi ninachokiamini wala sijaitaja familia yangu ikawe rais ila naongelea kwa mtizamo wa kisiasa na historia ya nchi yetu, nashukuru pia kwa mchango wako make ni sehemu ya siasa
 
Dr. Shein amepitishwa kuwa mgombea upande wa Zanzibar - Nape
 
Updates kutoka dodoma!

Mwenyekiti alipo wasili kwenye ukumbi ukumbi uli lipuka na kuanza kuimba tunaima na lowasa! Ndipo jk alipo cheka na kusema haijawai kutokea...na kuwbia wasiwe na jaziba mkutano utaisha salama!

Askari wa kutuliza ghasia wamejaa wa kutosha ukumbini na wajumbe wote waliambiwa waache simu mlangoni pamoja na waandishi!

Wameshindwa kuanza mkutano hadi muda huu. Hii kali sana nimevutiwa sana na Democracy ya CCM, iko so unique na haipatikani popote duniani
 
Ha ha ha ha atakapokuja kuzinduka atakuta misitu yote imefyekwa hata pakundandia ili apate nafasi ya kurukaruka hapatakuwepo tena,mahali pakusimama ili atoe pumba zake za kifo cha CHADEMA napo hatapaona tena.
 
maslahi ya kibiashara lazma yalindwe ilikua tu kutumia akili unaita wote wawili kwa wkt wako unawaambia ukipita usiniyeyusha over then unasubiria wachague.
 
Cha kufurahisha UKAWA ndiyo wanapambana kuwatafutia CCM mgombea safi.

Wao wanajua lazima rahisi atoke CCM na wengine wamekiri humu na kutaja safu ya viongozi wa CCM watakaounda serikali.

Dr.Slaa kama unafuatilia huu uzi nadhani unajionea mwenyewe utaendelea kuwa rais kivuli tu.

Maskini Ritz amehamaki. Ni kweli Tunaima"Rahisi " atoke CCM ila Rais wa Nchi atoke UKAWA
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi binafsi nnakushuru na nnakupongeza kwa kutupa hizo breaking news lazima twende mbele na turudi nyuma ccm inaelekea kugawanyika kama hakutakuwa hali itaendelea kuwa hivyo
 
Wajumbe Zaidi Ya 1200 Wameazimia Wakiingia Tu Mkutanoni Wapige Kura Ya Kutokuwa Na Imani Na Mwenyekiti Wa Taifa Wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete Kisha Mkutano Uvurugike Na Kuwe Na Timbwilitimbwili Na Jambo Hilo Limeratibiwa Sana Na Mtia Nia ALIYEDANGANYWA NA UTITIRI WA UMATI WA WATU Kupitia Kwa Wapambe Wake Waliopo Mkoani Dodoma. Na Duru Zinaendelea Kusema Kwamba Kuna Uwezekano Mkubwa Mno Pakatokea Na Fujo Na Itakayopelekea MACHAFUKO Makubwa UKUMBINI Kwani Watu Wamegadhabika Sana Na Maamuzi Ya Jana.

Kama Mtakumbuka Vyombo Vyote Vya Habari Hasa TBC1, STAR Tv Na Clouds Tv Walitakiwa Waanze Kurusha Matangazo Yao Ya Moja Kwa Moja Tokea Saa 3 Asubuhi Leo Lakini Mazingira Hayajaruhusu Bado Kutokana Na Kwamba Kuna MTAFARUKU Unaendelea Na JK Sasa Anahaha Kumtuliza Na Kumweka Sawa Lowassa Lakini Bado Mmasai AMEKATAA KATA KATA Hivyo Kupelekea Kuchelewa Kuanza Kwa MCHAKATO Kamili Wa Mkutano Mkuu Na Mpaka Hivi Ninavyandika Uzi Huu Huko Dodoma Hali Si Nzuri Na Ulinzi Umeimarishwa Vilivyo Mithili Rais Obama Anakuja Tanzania Leo.

NINI KINAFANYIKA SASA?

Marais Wastaafu Wote, Wa Sasa Na Mawaziri Wakuu Wastaafu Sasa Wanafanya Mazungumzo Na Mheshimiwa Lowassa Ili Kumshawishi Na Kumpoza Kwa Ahadi Kuwa Baadhi Ya Watu Wake Watapewa Nafasi Katika Serikali Ya Awamu Ijayo Ila Bado Lowassa AMEDINDA ( Amekataa ).

KOSA GANI LA KIUFUNDI AMELIFANYA JK?

Hakika Katika Hili Hata Mimi Naungana Na Wachambuzi Wenzangu Wengine Wa Kisiasa Kwa Kumlaumu Moja Kwa Moja Mwenyekiti Wa Taifa JK Kwa Makusudi Na Kwa Kutumia Ushawishi Wake Na Turufu Yake Kama Rais Kumpendelea Kwa Wazi Wazi Mtia Nia Bernard Membe Wakati Kiutaalam Ilitakiwa Kama Akimkata Lowassa Basi Membe Nae Pia Akatwe Na Kama Aliamua Kumbakisha Membe Basi Hata Lowassa Angebakishwa ILI Kutengeneza Uwiano Wao Kwani Hakuna Ambaye Hajui Kuwa CCM Ina Makundi Mawili Tu Ambayo Ni Kundi Kubwa La Lowassa Na Kundi Kubwa La Membe. Rais JK Hii Dhambi Itakutesa Milele Kwa Ulichokifanya Kwani Katika Hili Hakika Karata Zako Ulizicheza Vibaya.

ATHARI GANI INAELEKEA KUTOKEA KWA CCM NA KWA NCHI?

Hakika Katika Hili Hakuna Jinsi Na Wala Tusipepese Macho Wala Kutikisa Masikio Kwamba Ni Dhahiri CCM Wasipojipanga Na Kulimaliza Hili Chama Kinaweza Kupoteza Umaarufu, Wabunge Na Kikaathirika Na Kuna Hatari Pia Ya Kutokea MPASUKO Mkubwa Ambao Pia Utahatarisha Hali Ya AMANI Ya Nchi Na Kuelekea Hata Katika Machafuko Na Kuna Kila Dalili Kama Hali Hii Haitotatuliwa Serikali ITATIKISIKA Na Kuwapa Mwanya Jeshi Kuchukua USUKANI Kwa Muda.

NINI KIFANYIKE ILI KUOKOA HALI HII?

Kwakuwa CCM Sasa Kuna MPASUKO Mkubwa Baada Ya Lowassa Kukatwa Na Membe Kubakishwa Katika Kinyang'anyiro Kitu Ambacho Sasa Wanatakiwa Wakifanye Ni Ama Kumuengua Membe au Kumurudisha Lowassa Ili KUKINUSURU Chama Kisha CCM Kwa Nguvu Moja Impitishe Dr. John Pombe Magufuli Apeperushe Bendera Kwa MASHARTI Kwamba Akiwa Madarakani Basi Ahakikishe Vigogo Wawili Hao Anawapa Majukumu Kwa Maslahi Ya Chama.

Hayo Ndiyo Machache Niliyonayo, Niliyoyapata Kwa Muda Huu Na Mtazamo Wangu Pia ILA Dodoma Sasa KIMENUKA Na Kuna HALI Ya Wasiwasi Mno IMETAWALA Huku Watu Wakiogopa Nini KITATOKEA.

Eti mpasuko utaikumba nchi kwani hii nchi ya Tanzania ni mali ya ccm watanzania tupo milioni 45 na ushee ccm ina waamini wasiozidi milioni tano tena wanaweza wakawa wamepungua iliondoka KANU kesha seuse ccm kwani hao UKAWA sio watanzania ? Ccm ijiandae tu kisaikoloji.
 
Acha panic....loohaswa kaeshakatwa tayar...no way out...tunaenda na bakar membe
 
Back
Top Bottom