icu...
Hatua ya NEC imepita ndiyo imetoa hayo matatu, unless una maana Mkutano Mkuu, ambayo si rahisi January kupita. Nafikiri hapa ni Magufuri tu na pengine mgombea mwenza atakuwa AminaImetoka tayari? Hapa naiona Picha ya JK mwaka 1995. Makamba atashinda kura za NEC, halafu atakatwa kwa sababu bado hajaiva kisiasa..
Makamba anakwenda kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, JK alitaka kumuweka Bilal lakini akaona huyu kigogo kumnyofoa itakuwa ngumu kukubali matokeo.Imetoka tayari? Hapa naiona Picha ya JK mwaka 1995. Makamba atashinda kura za NEC, halafu atakatwa kwa sababu bado hajaiva kisiasa..
Hata mimi lkn tufanye subira maana naona mwisho wa siku - Membe ndiye atakaye pitaSidhan, Yaani Membe apenye 5 bora akwame kwenye 3 bora?
Wewe unataka KUVUNJA MUUNGANO si bure,
Mbona wote watanganyika.
closer beyond what eyes can see
Hata mimi lkn tufanye subira maana naona mwihso wa siku - Membe ndiye atakaye pita
Makamba anakwenda kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, JK alitaka kumuweka Bilal lakini akaona huyu kigogo kumnyofoa itakuwa ngumu kukubali matokeo.
Lakini kwa upande mwingine Bora maana huyu pekee ndiye atakaye weza kuuvunja Mtandano uloanza Usalama wa Taifa. Ni hatari sana kwa Taifa chombo hicho kuwa na makundi..nakumbuka alivyoaga bungeni na jimboni kwake kwa kujiamini sana...hii kitu ilipangwa kwa mda mrefu zaidi
nakumbuka alivyoaga bungeni na jimboni kwake kwa kujiamini sana...hii kitu ilipangwa kwa mda mrefu zaidi
Mkuu unadhani kina Makongoro Nyerere wameingia bure kwenye kinyanganyiro stuka.Hawa kina mahiga naanza kuhisi walikuwa Team JK all along.., maana sasa the lines are blurry between Team Membe and Team JK.waliwekwa pale kujaza nafasi kwa watu kulalamika, kwani ukitazama list ya waliokatwa utafikiri imekosewa na ndio ya waliopitishwa!
Kuna mtu anasahaulika humu, but you have got to hand it to Bi Salma,who would have thought a first Lady would make Membe's political career?
Mzee kingunge lzm atakuwa anaumwa kichwa.maana jamaa yake out of bound.
Lowassa umesikia aking'ang'ania?
Sisi raia huku ndo tuna ng'ang'ania mkuu. Kwasababu ndo chaguo la wengi ndani ya CCM