Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

huu ni wakati wa lowasa kupima kama kweli watanzania wanampenda au wapambe wake walimwaminisha kuwa anapendwa sasa kumeshapambazuka atuitaji taa kuwaona walikuwa na lowassa kwa mapenzi ya kweli au kwa kumchuna pesa zake.
 
Wewe...Lowasa angeingia tano bora angepita na kuwaacha wengine kwa mbali sana. Bora walivyomfyeka kwny kamati ya maadili maana hata kule CC jina lake halikwenda kabisa...
Naomba mechi na wewe mkuu
 
Kimweri,
Ile nafasi ya dsg-un ni Ban KiMoon mwenyewe ndiyo anateua.

Mhusika hateuliwi wala hapendekezwi na Raisi wa nchi anakotoka.

na hiyo ilitokea mara baada ya mzee mahiga kuwa mwenyekiti wa baraza la usalama la umoja wa mataifa aliyehakikisha moon anapata uungwaji mkono mkubwa na nchi za africa (from AU) na za huko kwao moon...nakumbuka wakati wa mkutano wa sulivan hapo dar migiro alikuw akama mc na alimudu kweli... cha ajabu hata mahiga amekatwa ..
 
sisy wote hao hawana nauli za kurudi makwao...sasa hapo unavyosikia wanarusha rusha miguu na mateke wanataka walau wahakikishiwe kuwa twatarudishwa makwao..leo asubuhi wamepewa tangazo la kusitishwa kwa chakula na malazi na pia nauli za kurudi makwao wajitegemee...tangazo hilo wamepewa baada ya ntu wao KUKATWA

duhh hataree kununuliwa kubaya sana
 
Hao wafuasi wa lowassa wametulia jamani.? Huyu jamaa namshangaa sana wewe mtu umeshaondolewa na vikao kwanini ung'ang'anize?
 
Timu Lowassa sio kwamba wanalia na Membe hivi hivi tu, ni kwa sababu wanajua Membe akichukua Urais wamekwisha..Hii inawapa wasiwasi zaidi kwa sababu Usalama wenyewe wamegawanyika. Hii ni hali ya hatari sana kuliko watu wanavyoifikiria lakini nina hakika chama hakiwezi kuchukuliwa mateka na kundi dogo la watu walolelewa na chama. Imefika wakati nchi yetu irudishe UZALENDO wake na pengine imefika tunahitaji Dikteta, mtu wa Usalama wa Taifa kwa sababu hatuwezi kuwa na makundi ndani ya chombo hicho!.

Shukran JK na maadam wewe bado rais wa JMT, Utalindwa. Imefika wakati sheria na kanuni za Uchaguzi wa wagombea Urais na Ubunge zitungwe na kusimamiwa na NEC sio vyama vya siasa.

I second your point of view ..
 
sisy wote hao hawana nauli za kurudi makwao...sasa hapo unavyosikia wanarusha rusha miguu na mateke wanataka walau wahakikishiwe kuwa twatarudishwa makwao..leo asubuhi wamepewa tangazo la kusitishwa kwa chakula na malazi na pia nauli za kurudi makwao wajitegemee...tangazo hilo wamepewa baada ya ntu wao KUKATWA

kama ndo hivyo,hebu mkutano mkuu usogezwe siku tano mbele tuone kama hawajaukimbia mji
 
Hawa wajumbe wa mkutano mkuu vipi? Yani kila anaeulizwa anasema yeyote atakayeletwa tunampitisha hiki chama vipi?
 

Anayeuzika ni MAGUFULI TUUUU!
MWENYEKITI JIHADHARI SANA USIUE CHAMA!

..magufuli ana kashfa ya kuuza nyumba za serikali.

..ana kashfa nyingine ya kukaidi ushauri na kuvunja kituo cha mafuta mwanza. Serikali ilihukumiwa kulipa 14 billion. Mramba amefungwa kwa kutia hasara ya bilion 11.

..pia ana kashfa nyingine ya samaki wa magufuli.

..huyu mtu hana busara na pia ni dikteta. Wewe mfuatilie matusi ya chini-chini anayotupa kwa vyama vya upinzani.

..Magufuli ni mpenda sifa, mkurupukaji, na asiye na staha ktk kauli zake.
 
Back
Top Bottom