Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Hatua ya NEC imepita ndiyo imetoa hayo matatu, unless una maana Mkutano Mkuu, ambayo si rahisi January kupita. Nafikiri hapa ni Magufuri tu na pengine mgombea mwenza atakuwa Amina

hata lamli niliyopiga mchana saa sita ilionyesha hivyo.....wakimweka Membe ccm inakatika. Team lowasa itahujumu. Bora awekwe asiye na kundi ili wazodoane nje.
 
Sidhan, Yaani Membe apenye 5 bora akwame kwenye 3 bora?

Katika harakati ya kuwapooza kundi la akina Lowasa.Ili chama kisije paraganyika.

Ninachoona kuna mchezo hapa unachezezwa Mkutano Mkuu watakuwa Rubber Stamp tu. Raisi atakuwa Kati ya Amina na Magufuli.

Ila kwa vile Watanganyika ni wengi basi Amina inabidi akae pembeni asubiri kuteuliwa kuwa Makamu wa Raisi.
Kama hiyo tetesi ni kweli kwamba ni Makamba ,Magufuli na Amina.

Ila Mwenyekiti angetamani Makamba-kwa masilahi Binafsi.
 
Habari wana Jamvi

habari za hivi punde ni kwamba kikao cha NEC kimeaahirishwa mpaka hapo baadae

sababu kuu ni wajumbe kuendelea kuimba wana imani na EDO hata pale waliponyamazishwa hawakutii wametoka nje na sasa ni mabomu tu nje ya ukumbi
 
umekurupuka kuchangia mada
 
Chaguo la Mwenyekiti wa CCM ni Lowassa lakini lazima ahakikishe anacheza siasa safi ili asionekane anampendelea rafiki yake.

Jina la Lowassa limekatwa kamati kuu na ile ya maadili ili kuwahadaa wajumbe wa vikao hivyo kuwa Lowassa sio chaguo la Mwenyekiti.

Baada ya kikao mwenyekiti akawatuma kina Dr. Nchimbi kulalamika wazi wazi kuwa kanuni zimekiukwa kwenye CC kwa malengo 2.
Moja, kuwavuruga wajumbe wa CC kuwa hawakufanya maamuzi Sahihi.
Pili, kuwa incite wajumbe wa NEC na wa Mkutano Mkuu ili mikutano yao itakapofikia watumie kanuni kuomba majina ya wagombea yaongezwe na hapa ndipo jina la Lowassa litaingia.

Sasa jina la Lowassa litapoingia kwa nguvu ya wajumbe wa NEC au Mkutano Mkuu, Mwenyekiti atasema wengi wape. Na hapa ndipo mchezo ulipo ili asionekane amempendelea mtu yeyote.

Kuingia kwa Lowassa hatua hii kutasaidia kuondoa makundi ndani ya chama maana hata Membe hatalalamika tena kwamba kaonewa maana yeye aliingia 5 bora toka mwanzo.

Katika hatua hii msishangile, subirini kwanza Nec na mkutano mkuu. Ila kuweni makini na kupata shinikizo la damu.
 


we subiri uone..yule jamaa wa lindi anapita eti...hao wapiga kelele hawana lolote ,..lowasa mwenyewe keshaufyata na baada ya hii kitu ataongea na vyombo vya habari kukubali matokeo na kumuunga mkono mgombeana na hivyo kuvunja kundi lake..
 
Kingunge anaongea chanel ten kwa shida sana, hana raha kabisa kwani kipenzi chake kimekatwa
 

nakiri wazi wazi kusema wewe humjui wala humfaham jk....kwa ile riport ya TISS jina la lowasa lirudi?!!!..sahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…