Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais


Amekuelewa mkuu..!tumsamehe
 

Hawezi kuwaacha bure lazma atawatandika tu, labda kama yule aliyechukua form hakuwa EL hili game bado bichi ndo kwanza limeanza.
 
MzeeKingunge hana cha kupoteza kama CCM watafarakana, yeye ameshamaliza zamu yake anasubiri kiharusi aishie kukaa nyumbani au hospitali. Anatakiwa kupuuzwa kwa kutaka kutulazimisha achaguliwe mtu anaemtaka yeye
 
Mzee yuko fit jamani anafamilia mumheshimu kama wazazi wenu tofauti za siasa zisiweke kutoheshimu babu zenu adabu muhimu always
 
Acha ujinga wewe...umeambiea leo saa 3 jina moja litakuwa hewani

Nimekusamehe kwa maana mie sio mjinga. Kulingana na maelezo ya Nape mara tu baada ya kikao kuisha, amesema hatatangaza majina matatu, wasubiri kesho! Sasa mjinga nani hapo?
 
Hata nani awekwe,lazima ccm wapate changamoto msimu huu wasipokuwa na kauli moja.
 
MZEE anaona mbali sana

Hana lolote mzee huyu.Angekuwa anaona mbali basi angeniona hapa Mandangeni naelekea Sumi.Yeye na familia yeke kupitia kinje waliibia serikali kupitia UBT bila haya wala aibu hadi Pm kaingilia kati baada ya kelele za bunge!
 
Mnao mcheka Kingunge sasa mtamwelewa mwisho wa Oktoba! Kikwete na washitika wake watafanya mambo mengi ya aibu kuliko hayo wanayo ktk chama chao.
 
aya bwana sisi wa vijijini tunamuomba magufuli anbaye anauzika sana kwetu basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…