Majina matano yatatolewa na Kamati Kuu itakayokaa kuanzia saa nane mchana leo!
Bora Lowassa kuliko mzanzibar.
Mkuu, achana na huyo jamaa. Wewe tupe hiyo tano bora yako then tulinganishe na yatakayotangazwa rasmiHujui Unachoongea Wewe Na Usitake Kuchukua Umaarufu Kwa Kutaka Kubishana Na Mimi Na Ni Vema Kama Hujui Nini Kinaendelea Ndani Ya Kikao Ukae Kimya Tukujuze. Na Nilitaka Nimwage Kila Kitu Hadharani Ili Watu Humu Wajue Lakini Umeshaniudhi Na Siwataji Tena Hao 5 Bora Waliopenya Na Kwa Taarifa Yako Majina Yao Ninao Na Mpaka Watakaopitishwa 3 Bora Baadae Nawajua. Utabaki Hivyo Hivyo POPOMA Wewe! Umewaponza Wenzio Katika Kujua Hayo Majina Na Wape Wewe Basi Hayo Unayoyajua!
Hujui Unachoongea Wewe Na Usitake Kuchukua Umaarufu Kwa Kutaka Kubishana Na Mimi Na Ni Vema Kama Hujui Nini Kinaendelea Ndani Ya Kikao Ukae Kimya Tukujuze. Na Nilitaka Nimwage Kila Kitu Hadharani Ili Watu Humu Wajue Lakini Umeshaniudhi Na Siwataji Tena Hao 5 Bora Waliopenya Na Kwa Taarifa Yako Majina Yao Ninao Na Mpaka Watakaopitishwa 3 Bora Baadae Nawajua. Utabaki Hivyo Hivyo POPOMA Wewe! Umewaponza Wenzio Katika Kujua Hayo Majina Na Wape Wewe Basi Hayo Unayoyajua!
Umeona eeeh! Wameshakula za fisadi hutawaona wala kuwasikia. Hakutakuwa na Friends of Lowasa, Team Lowasa wala 4U MOVEMENTTeam Lowasa kama mlivyofanya vizuri kula hela,mfanye vizuri pia kwenye kumbembeleza mzee asilie
Mkuu, achana na huyo jamaa. Wewe tupe hiyo tano bora yako then tulinganishe na yatakayotangazwa rasmi
Gari la fisadi lina kila kitu. ICU itakuwa kwenye gari lake na mochware ni hiyo hiyo gari yakeJamani mm naomba kuuliza swali la kizembe, hiv hapo kuna mochware, ICU au MOI? Manake lolote laweza tokea muda wowote?
Kamandaa na wewe unaamini kweli hiyo account ni ya Lowassa?
Tumuombe Mungu tumpate aliye bora
Nimemwambia huyo GENTAMYTHINE. Mie najua waliomo kwenye top five ndo maana nikamwambia awataje wake ili nilinganishe na hawa nilionao ili nione kama yupo sahihi ama laUnasubiri yatangazwe???kwani huna? Nimesoma hapo juu kuwa LOWASSA hayumo au sio Lizaboni ww
mkuu ebu tupe nyepesi maana utaua watu kwa preshaNi habari njema kusikia kuwa jila la fisadi Lowasa halimo kwenye tano bora. Ni furaha iliyoje. Mliokuwa mnasema kuwa hakatwi sasa mtajibeba