Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

????????????????????????????
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
............................
 
Hujui Unachoongea Wewe Na Usitake Kuchukua Umaarufu Kwa Kutaka Kubishana Na Mimi Na Ni Vema Kama Hujui Nini Kinaendelea Ndani Ya Kikao Ukae Kimya Tukujuze. Na Nilitaka Nimwage Kila Kitu Hadharani Ili Watu Humu Wajue Lakini Umeshaniudhi Na Siwataji Tena Hao 5 Bora Waliopenya Na Kwa Taarifa Yako Majina Yao Ninao Na Mpaka Watakaopitishwa 3 Bora Baadae Nawajua. Utabaki Hivyo Hivyo POPOMA Wewe! Umewaponza Wenzio Katika Kujua Hayo Majina Na Wape Wewe Basi Hayo Unayoyajua!

Asiyekujua atakuamini.
 
3.Pinda hafai...hafai...hafai...hafai....kabisa wala sihitaji kuweka ushahidi kila kitu kiko wazi
5.January arudi shule tu mwizi + familia yake tu haiwezi ndio ataweza nchi.....hafai
5.Mwanamke big No!! Atakuwa kilemba tu kama bibi kiroboto
6.Makufuli hafai...aliuza nyumba za serikali na kujenga nyingine, akiingia Ikulu ataiuza aseme wajenge ingine!!!
 
Hii ni taarifa rasmi nakupa, ndugu yako katapikwa tena jioni hii, ila kwa kumuonea huruma asije kufa kihoro mtoa habari ananiambia atapewa nafasi karibu na mkuu wa kaya ajaye.
haa haa endelea kuota mkuu. jamaa NEC na mkutano mkuu ndo kwao.
 
Cha kufurahisha zaidi UKAWA ndiyo wamejaa kwenye huu uzi kufuatilia mgombea wa CCM.
Kaka Ritz hilo ni lazima lifanyike, kwani jina la mtu atakaye chaguliwa kutoka CCM litakapotoka tu na ndio UKAWA wanapojipanga jinsi ya kushambulia, all in all CCM patachimba na mwisho wake upo wazi kabisa
 
Last edited by a moderator:
Jaji Augustino ramadhani,
John pombe magufuli,
Mark mwandosya,
Asha roze migiro,
Pinda peter mizengo

ayawiiii ayawiiiii yamekuwa ndani ya dodoma kama huamini subiri rasmi yatangazwe na chama halafu muamini but ndio rasmi yanayotoka mda wowote wana jukwaa
 
UKAWA wanakesha kufuatilia mchakato wa CCM wamesahau kabisa kama kwao wana mgombea urais.

Ushindwe na ulegee,nani asiyejua kuwa NEC Ya Lubuva inacheza faulo nyingi,unaongea kma vile hujui,wewe walewale
 
Back
Top Bottom