Ole wao wamkate Magufuli...watanzania walio wengi hawawezi kuelewa kiswahili cha Nape
umenena mkuu chama kikongwe kama hiki ili kianguke ni lazima wakologane ila bado uwezo wa kutengeneza unafki bado wanao ,yaani ule unafki wa kusifiana kwenye majukwaaSijui jema lipi lifanywe ili kuona CCM ipo sahihi.
Comment nyingi ziliandikwa kuwa CCM ikimsimamisha Lowasa ndo itakuwa mwisho wake, amekatwa watu wanadai UKAWA itashika dola. Au isingemsimamisha mgombea?
mtume apana mkuu umekosea!!mkuu unafurahisha sana.mfumo wa ccm.umeoza hata mtume.mohamad angeipewa ccm ingemfia mkonon
Anyway yeye ni mwanamume na sifa ya mwanamune ni kusitahimili maumivu wakati wa shida.
Kuna kila dalili CCM kwa mara ya kwanza kumsimamisha mgombea mwanamke katika nafasi ya Urais.
Kakatwa fisadi Lowassa na mabilioni yake ya kifisadi na makundi yake ya watu chungu nzima aliowanunua kwa kuwapa rushwa. Juhudi zake za kutoa rushwa nyumba za ibada pia hazikufua dafu na bado wamemkata pamoja na vitisho chungu nzima. Kama fisadi Lowassa kakatwa Magufuli pia anaweza kukatwa kirahisi mno.
Hata Mimi nimesikia kupitia clouds fm soon
Umekalili neno povu?
Punguani waheed wewe
Hivi huyu Amina Salum ndo nani kwani?
Balozi Amina alihitimu Chuo Kikuu cha New Delhi , India - Shahada ya Uchumi (B.A), mwaka 1979, pia alisomea masuala ya utawala wa fedha na utafiti wa uendeshaji kwenye Taasisi ya Uongozi (Institute of Management) Pune, India mwaka 1980, pia mwaka 1981 alihitimu Chuo Kikuu cha Pune, India - (Symbiosis College of Management) -MBA in Marketing (Masoko) na mwaka 1983 Chuo Kikuu cha Helsinki, Finland - Diploma ya utafiti wa masoko na uuzaji wa bidhaa nje (mafunzo maalum ya PRODEC).
Nyadhifa alizoshika
Mwaka 1981 hadi 1982, Mchumi Mwandamizi -Tume ya Mipango Zanzibar, mwaka 1982 hadi 1983, Mkurugenzi Biashara za Nje - Wizara ya Biashara ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na mwaka 1983 hadi 984, Katibu Bodi ya Biashara Zanzibar- Wizara ya Biashara Zanzibar.
Nafasi nyingine ni, mwaka 1984 hadi 1985, Mchumi Mwandamizi - Tume ya Mipango, Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar, mwaka 1985 hadi 1990- Mbunge Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, mwaka 1985 hadi 1986- Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mwaka 1986 hadi 1989- Waziri wa Nchi ,Wizara ya Mambo ya Nje.
Babako