Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Hivi huyu Amina Salum ndo nani kwani?
Alikuwa Waziri wa Fedha wakati Dr Salmin Amour kule Zanzibar.

Jk kamleta kwenye game kama kijana wake.

Wote hao watano waliopitishwa na vijana wa JK.

Magufuli yeye ndiyo waziri ambaye hakumungusha JK ni kijana wake pia ni kijana wa Mkapa.

Makamba yeye kaletwa pale kumchomoa ni rahisi, kuna uwezekano akapewa Wizara ya Mambo ya Nje.

Kimsingi JK kafanikiwa kiweka vijana wake.

Huu ni mtazamo wangu tu lakini.

Rais wa Jamhuri ya Tanzania ni Magufuli na Amina ni Makamu wa rais.
 
Kweli lowassa ana nguvu kawatikisa mpaka na membe amekatwaaaa......duu!! Kweli mamvi alitishia uhai wa chama....ameona bora wakose wote
 
si hata mwaka 1995 ilikuwa hivi....ben akachomoza nyie subirini..yaan magufuli apitie dirishan kuingia ikulu!!..nyie subirini..ccm mpaka watangaze matokeo ndo uwaamini
 
SIO RASMI....


Kauli ya Kikwete ya hivi punde kwa halmashauri kuu " Hii nchi ni ya Watanzania wote. Kila mtu ana haki ya kuhitumikia! Kila chama kina haki ya kushika dola na kutumikia wananchi kwa sababu ni nchi yao. Hakuna mwenye haki peke yake ya kuongoza nchi hii . Si chama wala mtu mwenye haki ya kipekee kuongoza nchi. CCM haipo peke yake kwenye mchakato huu.! Vyama vya siasa navyo vitaweka wagombea. Pia nao wanasifa ya kutumikia nchi yao. Ni wazalendo pia. Mzalendo akikosekana hapa CCM tunaweza kumpata ndani ya vyama vingine. Siyo dhambi! Nilimchagua Mbatia kutoka NCCR kuwa mbunge. Sikutenda dhambi!...sikulaumiwa! Mkichagua nje ya ccm hamtalahumiwa. Mtakuwa mmekidhi haja yenu ya kikatiba iliyo sahii kabisa. Ni lazima utaribu uheshimiwa la tutakuwa tumeshindwa kabla.......
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
ya kweli haya?
 
Alikuwa Waziri wa Fedha wakati Dr Salmin Amour kule Zanzibar.

Jk kamleta kwenye game kama kijana wake.

Wote hao watano waliopitishwa na vijana wa JK.

Magufuli yeye ndiyo waziri ambaye hakumungusha JK ni kijana wake pia ni kijana wa Mkapa.

Makamba yeye kaletwa pale kumchomoa ni rahisi, kuna uwezekano akapewa Wizara ya Mambo ya Nje.

Kimsingi JK kafanikiwa kiweka vijana wake.

Huu ni mtazamo wangu tu lakini

Ndio ukweli wenyewe huo....ila msipomweka Magufuli huu ndio mwisho wenu utakuwa.
 
Ole wao wamkate Magufuli...watanzania walio wengi hawawezi kuelewa kiswahili cha Nape
we huwafahamu watanzania...70% huwa hawajui wanachokisema ..wanapelekwa tu..kuna mmoja leo huko fb amesema hawa 5 bora wote ni wazuri kabisa..alipoulizwa swali huyu amina salumu unamfahamu vipi?...majibu yake we acha tu...
 
UKAWA ndiyo itakuwa bomba maana hawa wahuni wa CCM wapo madarakani kwa miaka chungu nzima, na siyo siri wameshindwa kuiongoza nchi kwa kiwango cha juu kabisa.

...........Nafuu apate mwanamke, wanaume wameshashindwa kuendeleza hii nchi.
 
Alikuwa Waziri wa Fedha wakati Dr Salmin Amour kule Zanzibar.

Jk kamleta kwenye game kama kijana wake.

Wote hao watano waliopitishwa na vijana wa JK.

Magufuli yeye ndiyo waziri ambaye hakumungusha JK ni kijana wake pia ni kijana wa Mkapa.

Makamba yeye kaletwa pale kumchomoa ni rahisi, kuna uwezekano akapewa Wizara ya Mambo ya Nje.

Kimsingi JK kafanikiwa kiweka vijana wake.

Huu ni mtazamo wangu tu lakini.

Rais wa Jamhuri ya Tanzania ni Magufuli na Amina ni Makamu wa rais.

Yaaa well said
 
Back
Top Bottom