patrickkkkky
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 468
- 286
clouds t.v wamejisushia heshima sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa Waziri wa Fedha wakati Dr Salmin Amour kule Zanzibar.Hivi huyu Amina Salum ndo nani kwani?
Kuna rumours pia ya Migiro, Membe na Amina Salum.
Makamu wa Rais anaweza kuwa yule mama aliyekuwa makamu wa Sitta kule #BMK . Huyu Amina kajichubuachubua hadi basi
Magufuli ataliangamiza hili taifa, mkurupukaji sana. hao wanawake bure kabisaa.
ya kweli haya?SIO RASMI....
Kauli ya Kikwete ya hivi punde kwa halmashauri kuu " Hii nchi ni ya Watanzania wote. Kila mtu ana haki ya kuhitumikia! Kila chama kina haki ya kushika dola na kutumikia wananchi kwa sababu ni nchi yao. Hakuna mwenye haki peke yake ya kuongoza nchi hii . Si chama wala mtu mwenye haki ya kipekee kuongoza nchi. CCM haipo peke yake kwenye mchakato huu.! Vyama vya siasa navyo vitaweka wagombea. Pia nao wanasifa ya kutumikia nchi yao. Ni wazalendo pia. Mzalendo akikosekana hapa CCM tunaweza kumpata ndani ya vyama vingine. Siyo dhambi! Nilimchagua Mbatia kutoka NCCR kuwa mbunge. Sikutenda dhambi!...sikulaumiwa! Mkichagua nje ya ccm hamtalahumiwa. Mtakuwa mmekidhi haja yenu ya kikatiba iliyo sahii kabisa. Ni lazima utaribu uheshimiwa la tutakuwa tumeshindwa kabla.......
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Kweli lowassa ana nguvu kawatikisa mpaka na membe amekatwaaaa......duu!! Kweli mamvi alitishia uhai wa chama....ameona bora wakose wote
Alikuwa Waziri wa Fedha wakati Dr Salmin Amour kule Zanzibar.
Jk kamleta kwenye game kama kijana wake.
Wote hao watano waliopitishwa na vijana wa JK.
Magufuli yeye ndiyo waziri ambaye hakumungusha JK ni kijana wake pia ni kijana wa Mkapa.
Makamba yeye kaletwa pale kumchomoa ni rahisi, kuna uwezekano akapewa Wizara ya Mambo ya Nje.
Kimsingi JK kafanikiwa kiweka vijana wake.
Huu ni mtazamo wangu tu lakini
Taarifa zenye uhakika asilimia 25.5% Asharose Migiro Anapitishwa kuwania kinyanganyiro cha urais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania!
we huwafahamu watanzania...70% huwa hawajui wanachokisema ..wanapelekwa tu..kuna mmoja leo huko fb amesema hawa 5 bora wote ni wazuri kabisa..alipoulizwa swali huyu amina salumu unamfahamu vipi?...majibu yake we acha tu...Ole wao wamkate Magufuli...watanzania walio wengi hawawezi kuelewa kiswahili cha Nape
...........Nafuu apate mwanamke, wanaume wameshashindwa kuendeleza hii nchi.
acha wehu,chama gani kimewahi kutoa tamko kumkubali magufuli?Ndivyo nilivyoomba jana kwenye maoni yangu nilipoanzisha Thread ya kuwaomba CCM Watuletee Magufuli kama mgombea anayekubalika na vyama vyote
Hata kama hana sifa??yeyote atakayeletwa na chama changu nitamkubali
Alikuwa Waziri wa Fedha wakati Dr Salmin Amour kule Zanzibar.
Jk kamleta kwenye game kama kijana wake.
Wote hao watano waliopitishwa na vijana wa JK.
Magufuli yeye ndiyo waziri ambaye hakumungusha JK ni kijana wake pia ni kijana wa Mkapa.
Makamba yeye kaletwa pale kumchomoa ni rahisi, kuna uwezekano akapewa Wizara ya Mambo ya Nje.
Kimsingi JK kafanikiwa kiweka vijana wake.
Huu ni mtazamo wangu tu lakini.
Rais wa Jamhuri ya Tanzania ni Magufuli na Amina ni Makamu wa rais.