Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Nasema kwa mtifuano huu Rais atakuwa Mwanamke na Makam wake pia atakuwa thy same sex unabisha achaaa, teh teh teh teh teh.
 
Muda wa kazi umefika sasa,, wale wazembe kwenye system mjiandae bila shaka rais wa JMT POMBE MAGUFULI atakuja na jeshi hatari sana kwa wazembe... Pale nchemba,mwakyembe,prof muhongo hahahahaha mjiandae kukimbia sasa!!!

mkuu unafurahisha sana.mfumo wa ccm.umeoza hata mtume.mohamad angeipewa ccm ingemfia mkonon
 
Taarifa zenye uhakika asilimia 25.5% Asharose Migiro Anapitishwa kuwania kinyanganyiro cha urais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania!
 
Baada ya ccm kukataliwa kanda ya ziwa wameona wamsimamishe magufuli,ili kuiteka kanda ya ziwa maana ukanda huu ndio huamua nani awe rais
 
Back
Top Bottom