Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Kama ndio hivi basi mzee wa Chato amechukua urais, Ikulu inanukia kwa Magufuli. Watanzania wengi wanamkubali sana Magufuli. Akipenya 3 bora yeye Rais

Wengi isipokuwa mimi. Simpendi kabisa. Ni fisadi kama mafisadi wengine.
 
Kama hii itakuwa kweli basi Derimto nitakupa heshima ya kuwa shujaa wa mwaka2015

Ndivyo nilivyoomba jana kwenye maoni yangu nilipoanzisha Thread ya kuwaomba CCM Watuletee Magufuli kama mgombea anayekubalika na vyama vyote
 
jamani sasa mnamtaka nani membe hawezi kupitishwa na timu lowasa waliomo ndani na membe hauziki huku jamani magufuli ndie pekee atakata ngebe za makundi hayo mawili ili wote wakose na wamama kuongoza nchi ya tz bado hawezi kudeal na wakina nyoka wa makengeza waliojaa tz
 
Magufuli ataliangamiza hili taifa, mkurupukaji sana. hao wanawake bure kabisaa.
 
Kuna kila dalili CCM kwa mara ya kwanza kumsimamisha mgombea mwanamke katika nafasi ya Urais.

Hata mm nilishahisi kitu kama hicho...ila ikiwa hvo ataweza kupambana na mfumo dume ndani ya ccm na nje ya ccm....na je ataweza kupambana na upinzani...asije akamwaga chozi hadharani siku moja....
 
Back
Top Bottom