Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Nasema kwa mtifuano huu Rais atakuwa Mwanamke na Makam wake pia atakuwa thy same sex unabisha achaaa, teh teh teh teh teh.

... mgombea wa urais wa ccm ... ila hii ndiyo itaondoa mzizi wa fitna
 
Taarifa za uhakika kutoka ndani ni kama ifuatavyo
1. John P. Magufuli
2. Amina Ally
3. Asharose Migiro

ACHA KUPOTOSHA WATU kwan mtangazaj wa CLOUDS MUSA HUSEIN AMESEMA akiwa anayataja majna hayo kuwa NI TETES TU HANA UHAKIKA NA WATU WASIMNUKUU MAANA AMEPATA KAMA TETES TU..sasa wew umekimbilia haraka kuja kudanganya watu hapaa!
 
Kuna watu wanachekesha sana. Kwani Magufuli aliuza nyumba zote na fedha kaweka mfukoni mwake?

waache wana hasira manake walitegemea Lowassa atapita wauze kwa sera za zilipendwa za richmond badala yake wamakipata wasichotegemea wanabakia kutafuta makosa hata yasiyowazi wazi. kama magufuli alijiuzia hizo nyumba akazimiliki yeye basi waweke ushahidi
 
Kuna watu wanachekesha sana. Kwani Magufuli aliuza nyumba zote na fedha kaweka mfukoni mwake?

Aliyeuza nyumba zile ni Mkapa. Magufuli alikuwa mtekelezaji wa agizo la Mkapa. Kwa nini wanambebesha zigo lisilo lake? Lile zoezi wote wanajua lilivyofanyika kwa amri ya Ikulu ya mkapa. Ni sawa na kumlaumu Muhongo kwa issue ya escrow! Wote tunajua amri zilikotokea.
 

Acha kujipa moyo ndugu kila kitu kiko wazi, hao wazee wa chama wanasema wanafuata kauli za mwalimu kuwa makabila makubwa hawaruhusiwi kupewa uongozi wa nchi, pia ndio kigezo cha kumtoa Legwanani..
 

acha kuamin maneno ya mtoa mada kayanukuu clouds na hao clouds wanasema ni tetes tu
 
Mbona katika rumours zote za "topu thirii" sioni jina la February...
 
ACHA KUPOTOSHA WATU kwan mtangazaj wa CLOUDS MUSA HUSEIN AMESEMA akiwa anayataja majna hayo kuwa NI TETES TU HANA UHAKIKA NA WATU WASIMNUKUU MAANA AMEPATA KAMA TETES TU..sasa wew umekimbilia haraka kuja kudanganya watu hapaa!

anatumika na mabosi wake kina Bashe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…