ha ha ha ajiandae ku account for yale makusanyo ya Ubungo bus station. Yeye na kila aliyekwenye timu ya Lowassa ni wachumia tumbo, wezi wakubwa, wavivu wametunyonya cha kutosha, watoke watokomeeeeeee hao hao hao wazomewe wapigwe mawe, kiboko yao JK, walikua wanamtukana macho kwa macho kila siku walisahau kuwa mwenzao rais wa nchi, hasira zao za kumwagwa wakafie mbele hao, huyu mzee kwanza anasema tu kwa kuwa timu ya Lowasa wapumbavu, hawakuwa na strategy kama mwanzo, badala ya kuwachukua wasomi waliobobea kakumbatia washikaji, kama kawaida yao sema safari hii hakukuwa na hela za bure za serikali hizo walizoiba Dowans, Richmond hazizai sasa atoe zile zake za maua anayopeleka ulaya manake alfa dry cleaner tumeihama hatutaki kupeleka hela zetu kwa mafisadi