ninaimani na migiro
wanaopiga kura za kumchagua rais huwa hawafiki mil 6
Yaani ccm wafanye kazi ili kutimiza utabiri wa yule mchawi? Kama alishindwa kujitabiria kifo chake na mwanae akashindwa kutabiri kifo cha baba yake hawafaiSasa ccm mwageni mboga mwekeni yule mama asha rose ili utabiri wa shehe yahaya utimie,
Amina ana watoto watano. Kachoka, hawezi kuongoza nchi.
1. John pombe Magufuli
2.Amina Salum
3.Asha Rose Migiro
Wajumbe Zaidi Ya 1200 Wameazimia Wakiingia Tu Mkutanoni Wapige Kura Ya Kutokuwa Na Imani Na Mwenyekiti Wa Taifa Wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete Kisha Mkutano Uvurugike Na Kuwe Na Timbwilitimbwili Na Jambo Hilo Limeratibiwa Sana Na Mtia Nia ALIYEDANGANYWA NA UTITIRI WA UMATI WA WATU Kupitia Kwa Wapambe Wake Waliopo Mkoani Dodoma. Na Duru Zinaendelea Kusema Kwamba Kuna Uwezekano Mkubwa Mno Pakatokea Na Fujo Na Itakayopelekea MACHAFUKO Makubwa UKUMBINI Kwani Watu Wamegadhabika Sana Na Maamuzi Ya Jana.
Kama Mtakumbuka Vyombo Vyote Vya Habari Hasa TBC1, STAR Tv Na Clouds Tv Walitakiwa Waanze Kurusha Matangazo Yao Ya Moja Kwa Moja Tokea Saa 3 Asubuhi Leo Lakini Mazingira Hayajaruhusu Bado Kutokana Na Kwamba Kuna MTAFARUKU Unaendelea Na JK Sasa Anahaha Kumtuliza Na Kumweka Sawa Lowassa Lakini Bado Mmasai AMEKATAA KATA KATA Hivyo Kupelekea Kuchelewa Kuanza Kwa MCHAKATO Kamili Wa Mkutano Mkuu Na Mpaka Hivi Ninavyandika Uzi Huu Huko Dodoma Hali Si Nzuri Na Ulinzi Umeimarishwa Vilivyo Mithili Rais Obama Anakuja Tanzania Leo.
NINI KINAFANYIKA SASA?
Marais Wastaafu Wote, Wa Sasa Na Mawaziri Wakuu Wastaafu Sasa Wanafanya Mazungumzo Na Mheshimiwa Lowassa Ili Kumshawishi Na Kumpoza Kwa Ahadi Kuwa Baadhi Ya Watu Wake Watapewa Nafasi Katika Serikali Ya Awamu Ijayo Ila Bado Lowassa AMEDINDA ( Amekataa ).
KOSA GANI LA KIUFUNDI AMELIFANYA JK?
Hakika Katika Hili Hata Mimi Naungana Na Wachambuzi Wenzangu Wengine Wa Kisiasa Kwa Kumlaumu Moja Kwa Moja Mwenyekiti Wa Taifa JK Kwa Makusudi Na Kwa Kutumia Ushawishi Wake Na Turufu Yake Kama Rais Kumpendelea Kwa Wazi Wazi Mtia Nia Bernard Membe Wakati Kiutaalam Ilitakiwa Kama Akimkata Lowassa Basi Membe Nae Pia Akatwe Na Kama Aliamua Kumbakisha Membe Basi Hata Lowassa Angebakishwa ILI Kutengeneza Uwiano Wao Kwani Hakuna Ambaye Hajui Kuwa CCM Ina Makundi Mawili Tu Ambayo Ni Kundi Kubwa La Lowassa Na Kundi Kubwa La Membe. Rais JK Hii Dhambi Itakutesa Milele Kwa Ulichokifanya Kwani Katika Hili Hakika Karata Zako Ulizicheza Vibaya.
ATHARI GANI INAELEKEA KUTOKEA KWA CCM NA KWA NCHI?
Hakika Katika Hili Hakuna Jinsi Na Wala Tusipepese Macho Wala Kutikisa Masikio Kwamba Ni Dhahiri CCM Wasipojipanga Na Kulimaliza Hili Chama Kinaweza Kupoteza Umaarufu, Wabunge Na Kikaathirika Na Kuna Hatari Pia Ya Kutokea MPASUKO Mkubwa Ambao Pia Utahatarisha Hali Ya AMANI Ya Nchi Na Kuelekea Hata Katika Machafuko Na Kuna Kila Dalili Kama Hali Hii Haitotatuliwa Serikali ITATIKISIKA Na Kuwapa Mwanya Jeshi Kuchukua USUKANI Kwa Muda.
NINI KIFANYIKE ILI KUOKOA HALI HII?
Kwakuwa CCM Sasa Kuna MPASUKO Mkubwa Baada Ya Lowassa Kukatwa Na Membe Kubakishwa Katika Kinyang'anyiro Kitu Ambacho Sasa Wanatakiwa Wakifanye Ni Ama Kumuengua Membe au Kumurudisha Lowassa Ili KUKINUSURU Chama Kisha CCM Kwa Nguvu Moja Impitishe Dr. John Pombe Magufuli Apeperushe Bendera Kwa MASHARTI Kwamba Akiwa Madarakani Basi Ahakikishe Vigogo Wawili Hao Anawapa Majukumu Kwa Maslahi Ya Chama.
Hayo Ndiyo Machache Niliyonayo, Niliyoyapata Kwa Muda Huu Na Mtazamo Wangu Pia ILA Dodoma Sasa KIMENUKA Na Kuna HALI Ya Wasiwasi Mno IMETAWALA Huku Watu Wakiogopa Nini KITATOKEA.
C&P
kwa hiyo lowassa akihama ccm ndio atahama nao...?
Mawazo mufilisi hayo ....
hatuwezi kuongozwa na demu
Zamu yetu wasukuma.
HiviMagufuli ni Msukuma? Anatokea wapi?
Mimi ningekuwa Lowasa, huu ni wakati mwafaka wa kulipiza kisasi. Nitafanya hivyo kwa kuhamia chama kingine. Sijui kama anajitambua kwamba ana majority ya kura ukilinganisha na hao vilaza waliobaki. Ahamie chama kingine kukimaliza chama kilichomaliza ndoto yake aliyoishi nayo au niseme malengo yake ya kisiasa yameyeyuka. Alijiudhuru uwaziri mkuu kumstahi mshikaji wake mnafiki. Hadi mtoto wa huyo mnafiki anafanya party ndani ya mfungo.
Lowasa, CCM si mamako, babako,mwanao au nduguyo wa damu. Wengi wamefaidi fadhila zako na wema wako lakini sasa wewe ni fisadi. Toka CCM, watanzania kwanza hawakitaki chama hiki!