Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Maskini mzee kingunge anazeeka vibaya sana, hivi huyu mzee hana washauri wa kumuambia akae nyumbani atulie anywe chai na kahawa. Anaongea pumba tu, hamna kitu cha maana. Hivi kweli huyu mzee alikuwa anataka rais wetu awe ni fisadi Lowassa?? Khaa! Huyu mzee jamani!
 
Sasa ccm mwageni mboga mwekeni yule mama asha rose ili utabiri wa shehe yahaya utimie,
Yaani ccm wafanye kazi ili kutimiza utabiri wa yule mchawi? Kama alishindwa kujitabiria kifo chake na mwanae akashindwa kutabiri kifo cha baba yake hawafai
 

upumbavu huu tafuta hoja za msingi, lowasa nani kafanya nini kwa nchi kipindi cha uwaziri wake ambacho cha kukumbukwa, wote yeye na membe hawafai
 
Bora hata magufuli apite kuliko hao wengine. Ila hata Asha migiro ana chance kubwa.
 
pamoja na kwamba magufuli kashinda kwenye hatua hii haitanishangaza hatua ya mwisho akashinda mwanamke
 

Babu kwa nini unamng'ang'ania sana lowasa mbona hata magufuli anafaa tuu..nenda naye huko act bana uctupigie kelele hapa na huyo fisadi wako...kwanza hajui kujenga hoja zaidi ya tuchape kazi...maamuzi magum..safari ya matumaini ...magufuli ndo raisi najitoa ukawa rasmi kura yangu jwa magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…