Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tehe tehe tehe!Shujaa kafanya nini? mpaka apate ushujaa.
Upo kwenye forum usipanik. ....wapiga kura hawafiki mil 40. ..
Magufuli si muhaya? Amekuwa msukuma tena?
Nahisi una ubongo wa samaki. Kuzaa ndo kuchoka!
Well said especially the issue of members of parliament wabunge hamsini kwa hamsini utakuwa ukombozi kwa watanzania.
Magufuli si muhaya? Amekuwa msukuma tena?
Hivi wale misukule wa Lowassa hapa Jamvini wameyeyuka wote?
geita, nkome kwa mzee marko nyahinga
Duh, hii ndiyo inaitwa kuvua gamba!
CCM inazidi kutushangaza!
Kikwete bado yuko kwenye mbio za kuelekea Ikulu kupitia tiketi ya majina ya kike!
Matokeo 3 bora ya Urais CCM
▶Magufuli kura 290
▶Amina kura 284
▶Migiro kura 280
▶Makamba kura 124
▶Membe kura 120
Kura):
Magufuli 290
Amina 284
Migiro 280
Makamba 124
Membe 120
Mbona kura zimezidi idadi ya wajumbe wa NEC?
geita, nkome kwa mzee marko nyahinga