Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

kudadeki lowasa kahakikisha membe hatoboi.

sasa ccm kaeni ready,ikibidi kupangua mshindi wa kesho,hawa jamaa wakimpigia kura huyo mama wa kizenji,itabidi mtengue kanuni asee
 
Kuna sehemu nimeandika jina la lowassa?

Ume ni quote statement ambayo nilikuwa namjibu mtu aliyezungumza kwamba lowassa ahame kwa anawafuasi wengi...

seems ulidandia train kwa mbele
 
kwa hiyo lowassa akihama ccm ndio atahama nao...?

Mawazo mufilisi hayo ....

Wewe ndio una mawazo mufilisi kwa kudhani watanzania mil 40 (including watoto) wanapiga kura. .......wanzania wanaomchagua rais hawafiki mil 6 na kwa jinsi ccm walivyokorogana basi wengi watapiga kura za hasira na namuona Dr slaa akiwa rais wa Tanzania
 
kweli team lowassa wamepiga kura za kumkomoa membe na makamba. Makamba alikuwa anachonga sana, imekula kwake.
 
Ume ni quote statement ambayo nilikuwa namjibu mtu aliyezungumza kwamba lowassa ahame kwa anawafuasi wengi...

seems ulidandia train kwa mbele

Upo kwenye forum usipanik. ....wapiga kura hawafiki mil 40. ..
 
kudadeki lowasa kahakikisha membe hatoboi.

sasa ccm kaeni ready,ikibidi kupangua mshindi wa kesho,hawa jamaa wakimpigia kura huyo mama wa kizenji,itabidi mtengue kanuni asee


na wametofautiana kura kidogo sana...
 
Siasa bwana si mchezo, yaani Membe chaguo la fast lady amepigwa chini hivi hivi.!
 
Migiro hafai hata kidogo kuwa hata waziri achilia mbali uraisi. Hilo limedhihiri katika bunge la 10 lililokwisha juzi ambapo alionyesha udhaifu mkubwa wa kiuongozi.

ccm watu kama hao ndo inawataka sasa
 
Back
Top Bottom