Huyu aliyeuza nyumba za Serikali kama karanga? Kama vile hakutosheka akamgawia na hawara yake??
Suburi uone aisee UKAWA tunaenda kushinda asubuhi saa mbili...!!!
BACK TANGANYIKA
Kwamba pangechimbika hahaha!!.
Mkuu upinzani haujichagui wenyewe ,,,,,Lazima tutoke nyuma ya Keaybord twende kwenye Ballot Box
kwani wanakumbuka hata...kuna mmoja amesema yaani wote hawa tatu bora ni wazuri sana wanafaa...akaulizwa swali unamfahamu vipi bi Amina Salumu...haloooo amejiuma uma huyo acha kabisa..
Bavicha mnachekesha sana ...tuna msubiri Padri Slaa tumuoneshe kazi...!
Mtasoma namba...CCM mbele kwa mbele.-Cap Komba.
kuanzia kesho utaona ID nyingi mpya....wengi team lowasa hawatatumia ID hizi....namtafuta MR.PRESIDENT tangu jana ametoweka humu
Nape ana kazi sijui atapata jimbo gani la kugombea maana Magufuli lazima amtose kumpa nafasi ndani ya chama, Membe kama angepita angemuachia jimbo kule kusini.
Kweli hili fagio kila mtu kaumia kivyake.
Teh teh teh
Kumekucha tena Ahahahaha!!
Mkimwaga mboga tunamwaga ugali
ndio usemi wa sasa hapa.dodoma..wajumbe wameapa kumpa.amina s ali labda awahi mbele ya haki
yuko hai hiyo ndie.wanamchagua...sty tuned