Nasikia walikuwa wanaendelea na mkutano wao. Yaani kama watoto yatima vileDr slaa ukawa hata hawasikiki tena wamefunikwa na ccm! ccm wamesha chukua nchi hamna jinsi
Ganzi bado anayoBado ana ganzi?mbona wanapiga nyimbo za Komba?
UKAWA tunaanza tarehe 14.07.2015 nchi itasimama .Lowasa atawatesa sana ccmDr slaa ukawa hata hawasikiki tena wamefunikwa na ccm! ccm wamesha chukua nchi hamna jinsi
maarufu kura za maruhani .Kura za hasira?
Ganzi bado anayo
Nasikia walikuwa wanaendelea na mkutano wao. Yaani kama watoto yatima vile
Na kweli wataisoma namba..Wanaisoma namba...CCM mbele kwa mbele..