Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,895
- 20,392
Ni kweli Mkuu. Hawajaafikiana na walipoona jina la Pombe Magufuli ndo wamechanganyikiwa kabisa. Walitaraji kuona CCM inamteua Membe ili wapite kwenye mteremkoNasikia wameshindwa kufika muhafaka wamesitisha kikao..