Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

I think Maghufuli could help the majority of Tanzanians since for him 'black is black' regardless of any context. He is the right guy for Tanzania at this time point.

Possibly your reasons are personal i.e. you are just attacking his personality.
mkuu sasa hii mada imeandikwa kiswahili wewe unajibu kiingereza , je angekuwa kaandika kingereza ungejibu kwa kichina? acheni mikwala yenu bwana.
 
Hbr wapenzi wa jf. Mm ni mwananchama mpya. Natakankujua hizobVurugu za nini na ni kwanini zikatokea?
 
amina na migiro wamejitoa? naona magufuli anaonekana kama ameshashinda?
 
Ni kweli Mkuu. Hawajaafikiana na walipoona jina la Pombe Magufuli ndo wamechanganyikiwa kabisa. Walitaraji kuona CCM inamteua Membe ili wapite kwenye mteremko

Bavicha walidhani humu watu tuta tukanana kama wanavyo fanyaga wao...hakika hawaamini kilichotokea....Lowasa na Nchimbi ndani ya nyumba!

Ukawa wameisoma namba
 
Naona Lukuvi anakamilisha kazi maalum ya kumuuza Magufuri ili kuwaweka aware wajumbe who is the suitor
 
kumbe wewe hujaelewa lengo!!! wajumbe hawawapendi hao wamama ila wako katika mkakati mwaga mboga! amini usiamini aliye weak kabisa ndiye atapitishwa!

Harafu hawako tayari kumpigia kura, ataishia kuwa looser! ndio mpango mkakati wa komoa JK!
 
Mkuu ZULUECO, niwie radhi kwa kutonielewa kwenye maudhui yangu. Kwa kukuweka sawa tu ni kwamba nakichukia CCM kuliko haja yangu kubwa. Nimeandika vile mwanzo ili nimtie munkari Lowasa ili ahamie kwingine ili hiki chama kifilie mbali. Pamoja na hayo nina imani hiki chama kimeanza kufs jana,muujiza tu toka mbinguni ukiokoe. Lowasa kasadaka mengi (pamoja na ufisadi wale) kwenye chama hiki, akiamini mkwere ni mtu lakini bahati mbaya hakujua unafiki rafiki yake.
Ni wakati mwafaka wa kumwaga kila kitu, watanzania sasa hivi ni wselewa.
RIP CCM!
 
Naona Hawa wagombea wanawake wamekata tamaa kabla hata hawajaanza. Namuona pombe Tu hapa ndio anapongezwa.kwani utaratibu ukoje sielewi hapa.
 
amina na migiro wamejitoa? naona magufuli anaonekana kama ameshashinda na wanawake hawa hawaoneshwi kwenye camera kabisa
 
Mtu wa kwanza kusalimiwa kwa kupeana mikono na prezdaa ni mwamba wa kaskazini naona wameteta jambo.
 
njoo na izo sababu mia mkuu.
sikuwahi kujua kama raisi hatakiwi kuwa strong, kumbe inatakiwa awe tegemezi.
 
niulize tu kama kuna anayejua kuhusu mke wa Magufuli ni msomi? naona kama ufirst lady unamuhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…