Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,114
- 4,486
Hata mimi nashangaa na inawezekana wameombwa wajitoe baada ya kusoma upepo.Hata hivyo, hio haitawasaidi ila ndio itazidisha hasira tu.
Vp mkuu plan B ya Lowassa yule jamaa yako wa mwandiga hatoi udenda kweli?