Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Hapo kwenye HITMANS umenikumbusha mengi...!!!
kumbe TZ wapo???

wanaweza kuwepo hasa hawa wenye asili ya asia lakini wengi ni kutoka nje wanaotaka kuja kuchuma mali zetu wanaotumwa na nchi zao na pia na wengi wanakuja kama diplomats.....tunaweza kuona leo kwamba ni mtendaji lakini akingia huko ndani na kuziona figisu figusu za mabeberu anaweza kuomba po
 
This is is a shame, huu ndio mpango w awaswahili?Mbona mwanamke mmoja kama kakarishwa km katuni na mwingine km kapelekwa kusidikiza wakati magufuli km kawaida ni kondoo wa kafara na robot la ccm ?

Inategemea kama unaongea ukiwa umelewa au sober!!
 
Yaani kweli hiyo ndo tatu bora ya CCM kati ya wale wote 38?

Really CCM? Really....?

Hahahaaaa.......daaaaah.

Ngosha hata mimi imenifikirisha sana hii tatu bora! really hawa ndo wakukabidhiwa supreme power???! Bongo bado tupo nyuma sana! magufuli full local and unpresentable! angalau Migiro japo naye kakaa kama kasuku!
 
Wewe naona umeishakunywa banana zako unatokwa povu tu sasa.
Kenge wewe nimepiga whisky za kutosha,ninywe banana nina shida gani wakati plani yangu dhidi ya ccm bdo inakwenda km nilivyotaka?..banana kanywe wewe na wakwere wenzio..Nafurahi sana Lowasa alikuwa kenge sana akaamini waswahili akidhani kwana maana.Masaia ni masaia tuu hata akienda mjini miaka nenda rudi.
 
Membe pamoja na mbwebwe zote mpaka za mizimu leo ameungana na mwenzake Lowasa safari ya huzuni .

VOTE FOR UKAWA
 
Wenye malori watakoma magufuli akishinda...kwa jinsi walivyomzarau wakati wa ule mgomo wao.
 
Ngosha hata mimi imenifikirisha sana hii tatu bora! really hawa ndo wakukabidhiwa supreme power???! Bongo bado tupo nyuma sana! magufuli full local and unpresentable! angalau Migiro japo naye kakaa kama kasuku!
hivi kwa nini nisicheke?!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…