Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

hivi kwanini akili za watu wanawaza lowassa tu kwenye hii inshu ya leo /
?
 
nina mashaka lowasa akikatwa kikao kitavurugwa

wapi/pumba zitaondoka mchele utabaki .nyerere alishatuonyesha njia,

kazi ya walinzi ni kufungua milango wanaotaka kuondoka waende,
 
Lisaa limoja lijalo kamati kuu ya ccm kumaliza kikao chake kutoa nafasi ya kikao cha baadae hapo saa nne.


ni saa kumi na mbili jioni polisi wakiwa kwenye magari, falasi pamoja na magari ya washawasha yametanda mitaani, hali inaonyesha mji wa dodoma kuna hali ya tahadhari polisi ni wengi mno


Kuna kitu kinaenda kutokea muda mfupi ujao, wajumbe wa mkutano mkuu wamejaa katika viwanja vya jengo la white house

Ni dodoma isiyo na tofauti na somalia muda huu


stay turned

Mkuu, haya yanawezekana Burundi. TANZANIA, nchi ya Amani na utulivu masilaha yote hayo ya nini? Labda kikao hicho kingekuwa ni cha CHADEMA.
 
lisipokuwepo wataipenda kwa sababu sisi wananchi ndio tunamtaka.
 
Jamani mliopo hko Dodoma karibu na ukumbi wa ccm tunaomba tupeni update kwa kinachoendelea hko kuhusu nani kaputishwa ili ukawa tushangilia maana yeyote atakayepitishwa ccm kwishineee.tujulisheni wadau..
Pia Leo kituo cha police bunju maeneo ya usalama kimechomwo moto na wanafunzi baada mwanafunzi mwenzao kugongwa na gari mida ya asubuhi.
Bahati mbaya sikuweza kupiga picha maana nilikuwa kwenye daladala natokea bagamoyo naenda dar.
Hizi zote nidalili kuonyesha namnagani watu walivyochoka na uonezi,watu hawapewi haki zao na rushwa imetawala ndo maana hata watoto wetu wameamua kujichukulia sheria mkononi.
Tukutane October,watanzania tuamuke tumeibiwa na kuonewa vyakutosha!
uhusiano wa mwanafunzi kugongwa na gari na rushwa viko wapi?
 
Kama msomaji majina ni Nape basi hata kama Lowasa kapita amini jina hatosoma
 
Wamezoea khchelewesha matoke ya kura ili wapate kuchakachua sasa Leo wanataka kuchakachua majina ya wagombea
 
Back
Top Bottom