Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Mtu atapata stroke mwaka huu, yule daktari wa Ujerumani kashindwa kazi. Mmmmmmm tamaa ya kuingia Ikulu Nomaaaaaa!!! Chadema jasho lawatoka kwani walimshangila Lowasa zaidi kuliko Slaa. Mmmmmm ukanda ulikuwa unanukia.
 
Kazi ya mshahara sio kujenga nyumba mkuu ukikaa na mawazo hayo mkuu kila jirani yako anaefanya maendeleo utamwona fisadi, nimetoa comment sio kwamba nakataa Magufuri hawezi kuwa fisadi bali nimeangalia hali halisi ya kile kinachotokea ndio maana nika site na mfano wa maisha yetu huku uraiani kuna watu wa kawaida tu wana nyumba 5 au 6 na ukiwaangalia walipopitia unaona wana derve though sio wote, unajua nilivyosema kwa Magufuri nilimaanisha kwa position yake anakopesheka mkuu wala hayo mambo yenu ya team nani sijui team nani kutoka moyoni kabisa mie simo kabisa, mie nilikuwa naongelea uwezekano wa yeye kujenga hasa ukizingatia nchi yetu ilivyo na miposho kibao isiyo na vichwa wala miguu ndo maana nikasema hivyo mkuu.

Tafakari ukiwa free bila kuweka chembe ya kishabiki huku unaangalia kinachotokea huku uraiani otherwise nyie endeleeni kutupa madhaifu ya Magufuri
 
kiukweli magufuli silitaki liwe rais ,misukuma ni mishamba sana itatusumbua sie watanzania.slaa chukua nchi

Wasukuma wanakwambia ninafasi yao kuongoza nchi,watampa kura bila kujali chama,kina ngosha wamedata aisee,jamaa anaweza pata shida mjini ambako raia wamejitambua na kuuelewa mfumo mzima wa ccm ulivyo kwamba hatakwenda kinyume na wao,lakini vijijini jamaa hata asipopiga kampeni atazoa kura zote,vile vizee vikifika vituoni vinauliza tu ....'ali hei u Magufuli...'maana yakee Yupo wapi Magufuli...kakionyeshwa kanatia na tiki,labda kuvidanganya napo ni ngumu maana vilisha kalili lile lile lijikofia la duara analovaaga sasa maga.mba wakitumia picha Magufuli akiwa na hilo kofia UKAWA twafwa,wasipo tumia basi UKAWA tuchangamukie fursa,mgombea wetu atinge lile kofia tuviingize mjini hivi vibabu uhuuuuuuuu,kama utani vile noma sana huyu mtu
 

Watanzania tunaweza mkuu tatizo tuna mawazo ya kijamaa sana kiasi kwamba mtu kuonyesha mafanikio yake anaogopa, nakupa mfano huwa tunanunua vitu kibao vya thamani tunaweka ndani kama simu, friji, majiko na kukaa nyumba nzuri za kupanga lakini mwingine akaiwekeza ela yake sehemu akapata mshiko wa nguvu wa kufanya mambo tunaanza kuchukua calculator ya kuanza kumpigia hesabu mshahara wake.
 
mbona kama wanatangaza Mwanamke ndo mgombea Urais sisiemu japo za umbea umbea zinasema ni Magufuli
...... Ni kama lkn....
 
mbona kama wanatangaza Mwanamke ndo mgombea Urais sisiemu japo za umbea umbea zinasema ni Magufuli
...... Ni kama lkn....

Subiri Makinda ndo anatangaza live
 
hao wajumbe hapo ndani wana sura za kinafiki nafiki tu
 
Magufuri anaweza kuwa na nia nzuri ya kuwavusha watanzania,lakini wasiwasi wangu ni mfumo atakao kutana nao akishapewa ikulu...kikwete nae alipokelewa kwa mbwebwe kama hizi..inanipa shida sana

Ni kweli kabisaaaa, mtu anaweza akawa sahihi ila sasa mfumo ukamvuruga kabisaaaa
 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…