Hiyo futari inaisha saa ngapi?
Kikao kinavurugwaje wakati wanaokata wameelewana tayari na wanaendelea na vikao vingine? Lowahasa ni mkubwa Monduri ila ni mdogo saaana kwa Tz
Lowasa ashachomolewa mapema kabisa na Kamati ya Maadili
wachawi wa kingunge hawana nafasi mbele ya taifa na watu wa mungu
Lowassa
Ramadhani
Migiro
mwandosya
Pinda
hii kitu iko humu?cc wameanza saa ngapi? Bro
Kikao kinavurugwaje wakati wanaokata wameelewana tayari na wanaendelea na vikao vingine? Lowahasa ni mkubwa Monduri ila ni mdogo saaana kwa Tz
Nape bwana eti wamalize kufuturi..ana kibri baada ya kumkata ngebe Lowassa
Kwani Wewe Mkoroshokigoli Sifa Za Mnafiki Huzijui? Yeye Si Ameshatoa Hadi Uzi Wake Kuwa Lowassa Kakatwa Sasa Ananiuliza Nini Tena?