Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Jamani juice yangu inapata moto na pirton zangu zitaexpire. Si mtangaze tu nijue nakunywa juice au pirton?

Bwana Kitumbo tafadhari masihara yenu yatapasua mbavu zangu.Dah michango mingine mpaka raha
 
baba mwanaisha naona futari la leo lilikuwa tamu kweli kweli
 
Imesenekana CCM mwaka huu wanamsimamisha mwanamke. Makinda aliweza wengine washindwe wana nini??
 
Kweli siasa ni ngumu..nikikumbuka KIBONDE anapaza sauti anasema "SAFARI YA MATUMAINI..!" umati wa watu umajibu "IMEANZA!"
 
Akatwe teh teh teh yaani janga kama halikuhusu ni raha sana.Ni kama kuangalia mechi ya final ambayo huna timu unayoipenda baina ya hizo mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…