The Prezident
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 459
- 176
Lowasa imeshindikana/kakatwa
Jaji Augustino & Pinda wako tano bora majina yote kutangazwa baada ya nusu saa
Waacha hizo ... Lowassa Imewezekana .. Ushahidi Ninao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowasa imeshindikana/kakatwa
Jaji Augustino & Pinda wako tano bora majina yote kutangazwa baada ya nusu saa
Jamani juice yangu inapata moto na pirton zangu zitaexpire. Si mtangaze tu nijue nakunywa juice au pirton?
Unachekesha wewe,watakatwa watu wote lakini sio lowasa. ''Lowasa ni kama Mtume Mohamad ndani ya CCM''By Madabida.
Lowasa imeshindikana/kakatwa
Jaji Augustino & Pinda wako tano bora majina yote kutangazwa baada ya nusu saa
Unachekesha wewe,watakatwa watu wote lakini sio lowasa. ''Lowasa ni kama Mtume Mohamad ndani ya CCM''By Madabida.
mjuaji Lowasa inasemekana kakatwa kwa kucha tu kama unakata tambi
Lowasa kapaniki.... Mie kuna insider kanitonya.. Hali yake tete
Lowasa imeshindikana/kakatwa
Jaji Augustino & Pinda wako tano bora majina yote kutangazwa baada ya nusu saa
hujambo bibie?
Lowasa imeshindikana/kakatwa
Jaji Augustino & Pinda wako tano bora majina yote kutangazwa baada ya nusu saa
Waacha hizo ... Lowassa Imewezekana .. Ushahidi Ninao.
Mie sijambo mkuu
Kwani unachat na Nape?
Kwani unachat na Nape?