''Lowasa ni kama Mtume Mohamad''By Madabida.
Kwani unachat na Nape?
Hahaha mbona bado mvutano unaendelea humo kikaoni?
Mchujo bado wamoto.
Pole sana. Huwezi kumnajisi Mtume Muhammad SAW kwa kumfananisha na fisadi
Futari ya leo masaa mangapi..?
Mwaka huu mtashudia ccm inavyopasuka vipande viwili mamvi anaondoka na nusu ya ya mataycoon kuanzisha chama kipya endapo mazungumzo na ukawa yakiferi kumbuka ukawa bado hawajatangaza mgombea wao kinachooendelea Dodoma kinawahusu sana kwa kuanzia kuna gari 60 zimeagizwa na timu mamvi kabla ya September zinatakiwa kuanza kazi moja tu kila MTU anaijua tusubiri ........
Ndugu yangu wa karibu.. Siwezi kutaja jina mkuu
wameunganisha na dakuFutari ya leo masaa mangapi..?