Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

CCM msifanye kosa la kutomteua LOWASSA,Hata Vyama vya upinzani vinashupalia sana asiteuliwe kwa sababu ni Mwiba kwao. Lowassa anakubalika duniani hata Mbinguni, ndio maana hata wapinzani wa CCM wanamuogopa sana.
kwa hiyo wabadilishe matokeo?mtatapikia hizi hela mwaka huu
 
CCM msifanye kosa la kutomteua LOWASSA,Hata Vyama vya upinzani vinashupalia sana asiteuliwe kwa sababu ni Mwiba kwao. Lowassa anakubalika duniani hata Mbinguni, ndio maana hata wapinzani wa CCM wanamuogopa sana.


Eeeewe mjinga kuwa na adabu muda nwingine

Eti wapinzani wanamwogopa kwa lipi"?
 
Wazee wa kufuturu bado tu? aisee kila mtu tanzania ana hamu ya kujua nani anapita
 
Lowwassa anapingwa kwa kuwa ni wa Kanda ya Kaskazini, na kwamba, akiwa rais atawashughulikia watesi wake

lowasa yeye ndo anahofu na kushughulikiwa kwa vitendo vyake vya kifisasi ikiwemo kutuletea kampuni feki ya richmond
 
Lowasa kua mgombea mwenza wa agustino ramadhani
Huu ndio uamuzi wa busara na hekima kukinusuru chama

Ni vyema mgombea akapewa nafasi katika kupata mwenza.
Fisadi awe na fisadi mwenzie!
 
Hahahahah!!
 
Kwanini wengine hawatajwi Sana Kama Lowasa? Huenda akawa ndiye mgombea Wa CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…