Hongera Mkuu na pole sanaWewe hujui kitu, endelea kula ganja tu, Akina MBOWE na SLAA wanafahamu nazungumzia nini hapa!
Duh! Kikosi dhaifu sana hicho. Tukisimama na UKAWA lazim watupige mkono kama vile Simba walivyowafanya YangaTop 5
1. kigwangala
2. Ngeleja
3. Amina Ally
4. Nchemba
5. Nyalandu
Usichoke mkuuNimechoka kusubiri
Teh teh teh...Futuru ya wakubwa inchukua muda mrefu. Tuvute subira
Nimechoka kusubiri
No!! Kazi yetu hapa ni moja tu, kuchochea kuni tu. Mambo mengine endeleeni na chama chenu.Mnafuatilia huu Mchakato kuliko sisi wahusika, Kunani? Si mtuache tuchague mgombea wetu? Wa kwenu si anajulikana ni MZEE SLAA?
we mse.nge unazingua.mara unasema kakatwa mara unatuuliza sisi tenaAmekatwa pakubwa au adogo?
Mnafuatilia huu Mchakato kuliko sisi wahusika, Kunani? Si mtuache tuchague mgombea wetu? Wa kwenu si anajulikana ni MZEE SLAA?
Top 5
1. kigwangala
2. Ngeleja
3. Amina Ally
4. Nchemba
5. Nyalandu
Teh teh teh...
Subiri tu Mkuu, Hakuna namna ya kumuondoa LOWASSA.
Mwalimu Nyerere(mmoja wa waasisi) aliwahi kusema, "bila CCM kuchagua mgombea anayekubalika na wananchi ndani na nje ya CCM, isitegemee ushindi".
Hakuna namna, LOWASSA ndiye!
we mse.nge unazingua.mara unasema kakatwa mara unatuuliza sisi tena
Bibi wewe Lizaboni Lowasa akipita uliahidi utafanya nini vile?Ndo faida ya kuwa chama tawala. Nyie mtaendelea kuwakata wabunge wenu mpaka mkome
Sasa kinachosababisha msitulie ni nini?Mchakato wa kwenu, lakini gharama zinazotumika za Kwetu.