Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Wajumbe wamemaliza kufuturu na sasa wameshaingia kwenye ukumbi kuendelea na kikao. Vyovyote itakavyokuwa lazima majina hayo matano yapatikane mapema na NEC itafanyika usiku huu kwa vile kesho ni Mkutano Mkuu
 
kwani haijajulikana,mbona taarifa zimezagaa.Team Lowasa wameshapoteana hawawezi kuchomoza tena.ni kama Yanga ikibutulia 5 bila na Simba unadhani Jeri Muro ataleta kidomo domo

Tafadhali mkuu huko uendako siko tuachie Yanga yetu pliiiiiiz!!!!
 
Kwani nani kakudanganya kuwa Lowasa anakubalika na wananchi wengi? Ni lini wananchi tulifanya uchaguzi tukaamua kuwa Lowasa ndo chaguo letu?
Kama ni mfuatiliaji wa Vyombo vya habari usingeuliza hili swali la kitoto hivi. Mkuu,
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA!!!
 
WWW.Chamachamapinduzi.org.com
httpp:/h.ww.chamacha mapinduzi.com

CHAMA CHA MAPINDUZI

tunashukuru ka maombi na wengne wanaozidi kutufuatilia tunachoomba ni kuwashukuru kwa usalama na amani ya nchi ilivyo sasa tumeshamaliza kikao cha majina matani kati ya walioomba ambao ni
1.Edward Ngoyai lowasa
2.Bernard Membe
3.Asharose migiro
4.Makongoro nyerere
5.Augustino Ramadhani

tunasisitiza amani ya chama na amani ya nchi naamini tunapoelekea wataenda kutenda haki na haki itazngatiwa na tutazngatia maoni ya wananchibpia wanahitaji nini nitoe lai tuu kuwaomba baada ya kupata futari basi wajumbe watarudi tena katika mkutano baada ya masaa kadhaaa kusikiliza kama hakuna ridhiko hapo lakini.mpaka sasa tulipofikia ni hapo na tutazidi kujulishana tunazidi kuhamasisha amani ya nchivna amani ya chama

Nape N
k/mwenezi

PAMOJA TUTASHINDA
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

website halali ni moja tu

CCM | Chama Cha Mapinduzi
 
Wajumbe wamemaliza kufuturu na sasa wameshaingia kwenye ukumbi kuendelea na kikao. Vyovyote itakavyokuwa lazima majina hayo matano yapatikane mapema na NEC itafanyika usiku huu kwa vile kesho ni Mkutano Mkuu

mbona taarifa zingine zinasema wamehairisha kikao cha usiku huu?
 
Team lowasa mjiandae kisaikolojia, matokeo yako tofauti sana
 
WWW.Chamachamapinduzi.org.com
httpp:/h.ww.chamacha mapinduzi.com

CHAMA CHA MAPINDUZI

tunashukuru ka maombi na wengne wanaozidi kutufuatilia tunachoomba ni kuwashukuru kwa usalama na amani ya nchi ilivyo sasa tumeshamaliza kikao cha majina matani kati ya walioomba ambao ni
1.Edward Ngoyai lowasa
2.Bernard Membe
3.Asharose migiro
4.Makongoro nyerere
5.Augustino Ramadhani

tunasisitiza amani ya chama na amani ya nchi naamini tunapoelekea wataenda kutenda haki na haki itazngatiwa na tutazngatia maoni ya wananchibpia wanahitaji nini nitoe lai tuu kuwaomba baada ya kupata futari basi wajumbe watarudi tena katika mkutano baada ya masaa kadhaaa kusikiliza kama hakuna ridhiko hapo lakini.mpaka sasa tulipofikia ni hapo na tutazidi kujulishana tunazidi kuhamasisha amani ya nchivna amani ya chama

Nape N
k/mwenezi

PAMOJA TUTASHINDA
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Wapuuzi wapo wengi leo. Huu mtandao ni wa mpenzi wako?
 
Wajumbe wamemaliza kufuturu na sasa wameshaingia kwenye ukumbi kuendelea na kikao. Vyovyote itakavyokuwa lazima majina hayo matano yapatikane mapema na NEC itafanyika usiku huu kwa vile kesho ni Mkutano Mkuu

Hapojuu VP kunamtukaleta majina
 
Org.com
httpp:/h.ww.chamacha mapinduzi.com

CHAMA CHA MAPINDUZI

tunashukuru ka maombi na wengne wanaozidi kutufuatilia tunachoomba ni kuwashukuru kwa usalama na amani ya nchi ilivyo sasa tumeshamaliza kikao cha majina matani kati ya walioomba ambao ni
1.Edward Ngoyai lowasa
2.Bernard Membe
3.Asharose migiro
4.Makongoro nyerere
5.Augustino Ramadhani

tunasisitiza amani ya chama na amani ya nchi naamini tunapoelekea wataenda kutenda haki na haki itazngatiwa na tutazngatia maoni ya wananchibpia wanahitaji nini nitoe lai tuu kuwaomba baada ya kupata futari basi wajumbe watarudi tena katika mkutano baada ya masaa kadhaaa kusikiliza kama hakuna ridhiko hapo lakini.mpaka sasa tulipofikia ni hapo na tutazidi kujulishana tunazidi kuhamasisha amani ya nchivna amani ya chama

Nape N
k/mwenezi

PAMOJA TUTASHINDA
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
nape hajui kuandika hivi!!!hakika nape si mwana wa moses nnauye..
 
Rais wetu mpendwa aliyetutumikia taifa zima kila kona tunamsubili kwa hamu tulipe fadhira kwa kadi zetu
 
Back
Top Bottom