lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
we mse.nge unazingua.mara unasema kakatwa mara unatuuliza sisi tena
Si nilisema huyu zwazwa..au hukunielewa mkuu😕😕
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we mse.nge unazingua.mara unasema kakatwa mara unatuuliza sisi tena
kwani haijajulikana,mbona taarifa zimezagaa.Team Lowasa wameshapoteana hawawezi kuchomoza tena.ni kama Yanga ikibutulia 5 bila na Simba unadhani Jeri Muro ataleta kidomo domo
Kama ni mfuatiliaji wa Vyombo vya habari usingeuliza hili swali la kitoto hivi. Mkuu,Kwani nani kakudanganya kuwa Lowasa anakubalika na wananchi wengi? Ni lini wananchi tulifanya uchaguzi tukaamua kuwa Lowasa ndo chaguo letu?
WWW.Chamachamapinduzi.org.com
httpp:/h.ww.chamacha mapinduzi.com
CHAMA CHA MAPINDUZI
tunashukuru ka maombi na wengne wanaozidi kutufuatilia tunachoomba ni kuwashukuru kwa usalama na amani ya nchi ilivyo sasa tumeshamaliza kikao cha majina matani kati ya walioomba ambao ni
1.Edward Ngoyai lowasa
2.Bernard Membe
3.Asharose migiro
4.Makongoro nyerere
5.Augustino Ramadhani
tunasisitiza amani ya chama na amani ya nchi naamini tunapoelekea wataenda kutenda haki na haki itazngatiwa na tutazngatia maoni ya wananchibpia wanahitaji nini nitoe lai tuu kuwaomba baada ya kupata futari basi wajumbe watarudi tena katika mkutano baada ya masaa kadhaaa kusikiliza kama hakuna ridhiko hapo lakini.mpaka sasa tulipofikia ni hapo na tutazidi kujulishana tunazidi kuhamasisha amani ya nchivna amani ya chama
Nape N
k/mwenezi
PAMOJA TUTASHINDA
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Wajumbe wamemaliza kufuturu na sasa wameshaingia kwenye ukumbi kuendelea na kikao. Vyovyote itakavyokuwa lazima majina hayo matano yapatikane mapema na NEC itafanyika usiku huu kwa vile kesho ni Mkutano Mkuu
Wapuuzi wapo wengi leo. Huu mtandao ni wa mpenzi wako?WWW.Chamachamapinduzi.org.com
httpp:/h.ww.chamacha mapinduzi.com
CHAMA CHA MAPINDUZI
tunashukuru ka maombi na wengne wanaozidi kutufuatilia tunachoomba ni kuwashukuru kwa usalama na amani ya nchi ilivyo sasa tumeshamaliza kikao cha majina matani kati ya walioomba ambao ni
1.Edward Ngoyai lowasa
2.Bernard Membe
3.Asharose migiro
4.Makongoro nyerere
5.Augustino Ramadhani
tunasisitiza amani ya chama na amani ya nchi naamini tunapoelekea wataenda kutenda haki na haki itazngatiwa na tutazngatia maoni ya wananchibpia wanahitaji nini nitoe lai tuu kuwaomba baada ya kupata futari basi wajumbe watarudi tena katika mkutano baada ya masaa kadhaaa kusikiliza kama hakuna ridhiko hapo lakini.mpaka sasa tulipofikia ni hapo na tutazidi kujulishana tunazidi kuhamasisha amani ya nchivna amani ya chama
Nape N
k/mwenezi
PAMOJA TUTASHINDA
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Wajumbe wamemaliza kufuturu na sasa wameshaingia kwenye ukumbi kuendelea na kikao. Vyovyote itakavyokuwa lazima majina hayo matano yapatikane mapema na NEC itafanyika usiku huu kwa vile kesho ni Mkutano Mkuu
nape hajui kuandika hivi!!!hakika nape si mwana wa moses nnauye..Org.com
httpp:/h.ww.chamacha mapinduzi.com
CHAMA CHA MAPINDUZI
tunashukuru ka maombi na wengne wanaozidi kutufuatilia tunachoomba ni kuwashukuru kwa usalama na amani ya nchi ilivyo sasa tumeshamaliza kikao cha majina matani kati ya walioomba ambao ni
1.Edward Ngoyai lowasa
2.Bernard Membe
3.Asharose migiro
4.Makongoro nyerere
5.Augustino Ramadhani
tunasisitiza amani ya chama na amani ya nchi naamini tunapoelekea wataenda kutenda haki na haki itazngatiwa na tutazngatia maoni ya wananchibpia wanahitaji nini nitoe lai tuu kuwaomba baada ya kupata futari basi wajumbe watarudi tena katika mkutano baada ya masaa kadhaaa kusikiliza kama hakuna ridhiko hapo lakini.mpaka sasa tulipofikia ni hapo na tutazidi kujulishana tunazidi kuhamasisha amani ya nchivna amani ya chama
Nape N
k/mwenezi
PAMOJA TUTASHINDA
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Hapana Mkuu. Wameshaingia Ukumbini na kikao kimeanza sasambona taarifa zingine zinasema wamehairisha kikao cha usiku huu?
Huyu ni nape wa jf. Si yule wa CCMnape hajui kuandika hivi!!!hakika nape si mwana wa moses nnauye..