TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,747
Team lowasa mjiandae kisaikolojia, matokeo yako tofauti sana
Kama walikuwa hawajajiandaa, basi wamechelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Team lowasa mjiandae kisaikolojia, matokeo yako tofauti sana
Kikao kinaendelea Mkuu. UsihofuJamani mbona kimyaa
Kwani nani kakudanganya kuwa Lowasa anakubalika na wananchi wengi? Ni lini wananchi tulifanya uchaguzi tukaamua kuwa Lowasa ndo chaguo letu?
Ntarukarukaje.
Huyu ni nape wa jf. Si yule wa CCM
Mkuu, usiwasikilize hao wanaoleta taarifa za uzushi. Tusubiri taarifa rasmiHapojuu VP kunamtukaleta majina
Kakatwa tayari!
Lowassa anatambia wapambe wake tu lakini kwa Dr. Mangulla amekatwa kiulaini kama timu fulani isivyotamba mtaa wa Msimbazi.
WWW.Chamachamapinduzi.org.com
httpp:/h.ww.chamacha mapinduzi.com
CHAMA CHA MAPINDUZI
tunashukuru ka maombi na wengne wanaozidi kutufuatilia tunachoomba ni kuwashukuru kwa usalama na amani ya nchi ilivyo sasa tumeshamaliza kikao cha majina matani kati ya walioomba ambao ni
1.Edward Ngoyai lowasa
2.Bernard Membe
3.Asharose migiro
4.Makongoro nyerere
5.Augustino Ramadhani
tunasisitiza amani ya chama na amani ya nchi naamini tunapoelekea wataenda kutenda haki na haki itazngatiwa na tutazngatia maoni ya wananchibpia wanahitaji nini nitoe lai tuu kuwaomba baada ya kupata futari basi wajumbe watarudi tena katika mkutano baada ya masaa kadhaaa kusikiliza kama hakuna ridhiko hapo lakini.mpaka sasa tulipofikia ni hapo na tutazidi kujulishana tunazidi kuhamasisha amani ya nchivna amani ya chama
Nape N
k/mwenezi
PAMOJA TUTASHINDA
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Hawa watu bana si wataje ieweke
Wajumbe wamemaliza kufuturu na sasa wameshaingia kwenye ukumbi kuendelea na kikao. Vyovyote itakavyokuwa lazima majina hayo matano yapatikane mapema na NEC itafanyika usiku huu kwa vile kesho ni Mkutano Mkuu
Huyu naye atapigwa chini tu hana sifa ya kuongoza nchi.
mkojoe mkalale
Mkuu, CCM tupo huru kutoa mawazo yetu. Inapobidi tunatofautiana ila hatuhombaniNyie magamba mbona mnashindwa kusitiriana
Jinsi mlivyo kula pesa yake kwa ushirikiano..muendelee hivyohivyo wakati anapelekwa ICU
Mtakosea Na Kubashiri Hadi Mtajikuta Mnawataja Na Wazazi / Waume Na Wake Zenu. Lowassa Hayupo Na Ameshakatwa Amini Maneno Yangu.
Hapana Mkuu. Nipo vizuri sana katika kuhabarisha wana jfwe jamaa unajiona mangullaaa