Conq'ueror
Senior Member
- May 13, 2015
- 171
- 131
@Amaizing kujifanya Nape siyo vizuri,tusipende kuwachokoza hawa jamaa bila sababu hawachagui pa kupiga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafaa sana kutumwatumwa na kupewa maagizo labda u pm
Kuna gari la matangazo linapita hapa na kutangaza kuwa kakatwa
Rais wetu mpendwa aliyetutumikia taifa zima kila kona tunamsubili kwa hamu tulipe fadhira kwa kadi zetu
kwan lazma na ww uanzishe maada? Kama huna cha kuandika kapige nyeto nanga ww
unatucheka lakini vita zidi ya shetani makanisa yote huwa yanaungana ,
pole hatuitaji rais wa kuogozwa na baraza la mawaziri,magufuli ndo mwenyewe,wanaokaa ofisini na kupiga soga aadara ya kuwatumikia watanzania waombe kuacha kazi mapema,asante mungu
Org.com
httpp:/h.ww.chamacha mapinduzi.com
CHAMA CHA MAPINDUZI
tunashukuru ka maombi na wengne wanaozidi kutufuatilia tunachoomba ni kuwashukuru kwa usalama na amani ya nchi ilivyo sasa tumeshamaliza kikao cha majina matani kati ya walioomba ambao ni
1.Edward Ngoyai lowasa
2.Bernard Membe
3.Asharose migiro
4.Makongoro nyerere
5.Augustino Ramadhani
tunasisitiza amani ya chama na amani ya nchi naamini tunapoelekea wataenda kutenda haki na haki itazngatiwa na tutazngatia maoni ya wananchibpia wanahitaji nini nitoe lai tuu kuwaomba baada ya kupata futari basi wajumbe watarudi tena katika mkutano baada ya masaa kadhaaa kusikiliza kama hakuna ridhiko hapo lakini.mpaka sasa tulipofikia ni hapo na tutazidi kujulishana tunazidi kuhamasisha amani ya nchivna amani ya chama
Nape N
k/mwenezi
PAMOJA TUTASHINDA
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Kuna gari la matangazo linapita hapa na kutangaza kuwa kakatwa