Sdebaseboy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 778
- 248
ukichimama nkuki, ukikimbia nchaleee
hawagombei bara wanagombea uongozi wa tanzania ambayo pia ni zanzibar
Nimepitia tovuti moja
Inayoheshimika wanadai kikao
kinaendelea na matokeo ya 5;nafuu yatatolewa kesho!!!
Kama ni kweli matokeo ya 5nafuu yAtatolewa
Basi Nuru na Giza vimekutana !!!!
:
Hata hivyo sitarajii kumpa yeyote kura yangu,,!
Natia zangu UKAWA !!!
Jamani wamalize ili watujuze na kama wakwetu amekatwa basi tunakatika nae eeeh tumechoka sasaa!!
Nimechoka, naenda kulala Hamna jipya hapa labda mpaka kesho yaani ni ubabaishaji mtupu
Jamani mbona kimya huko DOM?
Hawa sisiemu mbona wanatuweka roho juu
kumbe mambo ni kesho
Member kwa kweli sasa kalaleni
Maccm wanajskia na hivyo vitano bora vyao hawataki kuvitangaza
LOWASSA anatosha...Yeye Pekee ndiye anayeweza kupambana na hawa wahuni wa UKAWA.