Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Nimepitia tovuti moja
Inayoheshimika wanadai kikao

kinaendelea na matokeo ya 5;nafuu yatatolewa kesho!!!

Kama ni kweli matokeo ya 5nafuu yAtatolewa
Basi Nuru na Giza vimekutana !!!!
:
Hata hivyo sitarajii kumpa yeyote kura yangu,,!

Natia zangu UKAWA !!!

Lala sasa mkuu
 
Habari ndo hyo usiku mwema!
 

Attachments

  • 1436557239914.jpg
    1436557239914.jpg
    43.9 KB · Views: 610
Bora hii ngoma ipigwe kesho lakini najua hapo dom hakulaliki. Lakini hayo majina 5 vp?
 
Sisi tunatamani na masikio yetu yako Dodoma tujue wanavunjika vipi wanagombana vp .
 
Kingunge, Kone na Msindai wanaratibu mpango wa kumng'oa Mwenyekiti wa CCM,KIKWETE ndani ya NEC
 
Back
Top Bottom