Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Habari motomoto-tano bora kutangazwa baada ya daku. Zidumu fikra za mwenyekiti.
 

Alafu habari kama hizi zikiwa ni za uongo mods unafanyaje? Au umeruhusu tupotoshane huku ndani?
 
Last edited by a moderator:
msomali bana wakati wengine wanaimba ikiwa ni pamoja mna mwenyekiti wake yeye wala anafikiria Al shabab na operesheni zao.Naona kamanda wake FaizaFoxy kimya kidogo nadhani yuko frontline kwa kisingizio cha mfungo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…