Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Kesho guys!!!!!!
 

Attachments

  • 1436557515895.jpg
    1436557515895.jpg
    29.6 KB · Views: 534
Habari motomoto-tano bora kutangazwa baada ya daku. Zidumu fikra za mwenyekiti.
 
........................
..........................
UPDATES.......
Tuhuma nzito zimetolewa na idara ya usalama wa taifa dhidi ya Edward Lowassa kuwa aliisambaratisha vilivyo idara hiyo nyeti. Kufuatia tuhuma hizo wazee waliowahi kuwa viongozi waandamizi wa juu serikalini waliokuwepo ndani ya kikao cha kamati ya maadili na usalama wamependekeza kuwa Lowassa aondolewe mara moja na asijadiliwe tena kamati kuu.

Hizo ni habari za uhakika kutoka kwangu G Sam

Alafu habari kama hizi zikiwa ni za uongo mods unafanyaje? Au umeruhusu tupotoshane huku ndani?
 
Last edited by a moderator:
msomali bana wakati wengine wanaimba ikiwa ni pamoja mna mwenyekiti wake yeye wala anafikiria Al shabab na operesheni zao.Naona kamanda wake FaizaFoxy kimya kidogo nadhani yuko frontline kwa kisingizio cha mfungo
 
Back
Top Bottom