Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Naona wajumbe wamegoma kuitikia zidumu, ''zidumu fikra za mwenyekiti''.
 
View attachment 267156
11698710_841897932552581_5504814142320780161_n.jpg

Duu ukweli ndio huu sasa haya ys riz yauongo kweli? Narudia ukweli ndio huu
 
Hata kama akikatwa keshaweka historia.. Haijawahi tokea NEC kuchukua muda mrefu kupitisha mgombea
 
Habari zilizotufikia hv punde watano walipita ni Membe, Agustino, Pinda, Migiro & Magufuli......
 
Haiwezekani jamani - hao wajumbe wamelishwa maharage ya wapi mpaka sasa taarifa halisi zisivuje? Hii kawaida, lazima kuna jambo ambalo sio la kawaida au haliko sawa!
 
Habari za kuaminika Lowasa kaingia tano bora update znakuja zaid

Update yakuaminika tano bora
Lowasa
Magufuli
Bilali
Migiro
Membe

Matusi kwenu hapa ni habar za ukweli
 
Back
Top Bottom