Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,557
- 1,787
....CCM against CCM. Patamu hapo!!!
Kiongozi.. Noana kama UKAWA tushaingia ikulu, tuweke sasa bunduki Ya maana, hawa woote me naona ujii tuu..hawauziki...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....CCM against CCM. Patamu hapo!!!
Yaani wee acha tuu,hizi ni dharau kubwa sana kwa watu wazima na wenye heshima zao kama wakina Pinda,Mwakyembe,Makongoro na Jaji,yaani Makamba ni zaidi ya hao wote kweli?kweli kikwete kaamua chama kimfie mikononi mwake.
Migiro na Makamba????
Really????
CCM could have an easier campaign, they chose the hardway, UKAWA wanatakiwa washangilie kwa kweli. CC couldn't have botched the mission worse than they have!
Huku namuona "raisi wa kipekee duniani", huku namuona bidada UN iliyomshinda, huku namuona Amina-mwerevu, ila sio mwenye kufahamika.
wamejitahidi kwenye sehemu ya uadilifu, ila sehemu ya Mvuto overall top 5 yao iko around 40%. wajiandae kuchapisha noti za kutosha kuiuza hii timu.
Kama mamvi ataamua kumwaga mboga na kuhamia UKAWA, hawa top 5 yao yote ana uwezo wa kutunishiana nao misuli, kwani wengi wana vijikashfa vya kuwapakazia kwenye media. Ukichanganya na pesa zake.., Lowassa has a very goo chance to make 2015 a memorable election.
CCM had the driving seat, but as usual they gave the steering wheel away.
Dr.Slaa,Lipumba and team must be on Lowassa speed dial by now.
Usim'under rate' Asha.Kumbuka alivyotoka UN kazi yake ya kwanza ilikuwa CCM, na alizunguka nchi nzima na akina Nape & Kinana. Hii ilikuwa ni mbinu ya kuwekeza.
Mamvi kesho anachukua card ya act
mamvi kachambia upuppu...
Mamvi kesho anachukua card ya act
Yaani wewe siku nikutia mkononi. ..endelea na ujinga wako tu