Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Ha-ha
chichiemu kweli sikio la kufa..,dawa imeshagonga mwamba
Unacheka Mkuu Kimweri,yaani January ni bora kuliko Kigwangala,Muhongo,Pinda,Mwakyembe na hata Lowasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha-ha
chichiemu kweli sikio la kufa..,dawa imeshagonga mwamba
Hapo thawa maana kuimba parapanda napo ni kipaji...
Usim'under rate' Asha.Kumbuka alivyotoka UN kazi yake ya kwanza ilikuwa CCM, na alizunguka nchi nzima na akina Nape & Kinana. Hii ilikuwa ni mbinu ya kuwekeza.
Naona wazee wa TISS wameshinda vita, magufuli tu Hapo ndio afadhali
siamini kabisa kama kibarua changu cha ua-admin wa hili group la whatsapp ndio kimekoma leo.this is not not fair.
View attachment 267195
Usim'under rate' Asha.Kumbuka alivyotoka UN kazi yake ya kwanza ilikuwa CCM, na alizunguka nchi nzima na akina Nape & Kinana. Hii ilikuwa ni mbinu ya kuwekeza.
Unacheka Mkuu Kimweri,yaani January ni bora kuliko Kigwangala,Muhongo,Pinda,Mwakyembe na hata Lowasa?
ndio mkuu,hizo zote ni namba zangu.zipo hewani 24/7.Mkuu hizo namba umezi disclose public 