Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Habari zilizonifikia hivi punde kutoka mkutanoni Dodoma ni kwamba, tayari yale majina 5 yameshapatikana na sasa mazingira yanatengenezwa ili kuyataja rasmi na kwa mlio Dodoma hapo chungulieni nje mnaona ugeni gani mkubwa wa ghafla wana ulinzi na usalama hapo?

Mnajua ni kwanini ulinzi huo umeimarishwa ghafla mchana huu? Muda wowote kuanzia sasa, hayo majina yatatajwa na mchana huu baada ya mapumziko kidogo wajumbe wanarudi upesi ukumbini kufanya mchujo na kuwabakisha watia nia 3 tu ambao kesho ndiyo watashindanishwa ukumbini na hatimaye kupatikana mmoja.

Ninaloweza kusema na ambalo ni fumbo kwenu sisi wazalendo tunamshukuru sana na mzee Philip Mangula, wazee wa CCM na wenye heshima kubwa na mdahalo ule wa juzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, kwani kilichopitishwa kimetokana na matamshi, matakwa na wosia wao na nasema kuwa chama sasa kimerudi katika misingi ya Baba wa Taifa na Watanzania wenzangu haswa wazalendo na wenye uchungu na nchi hii popote mlipo tafadhalini anzeni kufurahi kwani Mwenyezi Mungu amesikia kilio chetu. Nimefurahi na akhsante Mungu. Sasa nitalala usingizi.

Kazi imekwisha, hakuna cha kaskazini wala kusini na maslahi na ustawi wa chama ndiyo umezingatiwa ili kuua makundi ambayo yangekidhoofisha chama.

Mchana mwema nyote ila msikae mbali na radio zenu kwani muda wowote patakuwa na breaking news ya utangazwaji wa majina hayo yaliyoingia 5 bora. Mimi sasa kwa furaha iliyoje nakwenda zangu kufurahi. Nchi imerudi rasmi kwa wazalendo.

Mzalendo anaye julikana kikatiba ni zitto kabwe,nyie mmesajiriwa lini?
 
CCM wasipompitisha Magufuli katika hao watano, basi CCM ijiandae kuwa chama kikuu cha upinzani
 
Mpaka hapo matumaini ya UKAWA kwisha
Kwisha wajisalimishe tu mafikilio ya ushindi wayafute vichwani mwao
Hiyo ndiyo CCM.
 

Attachments

  • IMG_20150711_015900.jpg
    IMG_20150711_015900.jpg
    37 KB · Views: 515
Habari zilizonifikia hivi punde kutoka mkutanoni Dodoma ni kwamba, tayari yale majina 5 yameshapatikana na sasa mazingira yanatengenezwa ili kuyataja rasmi na kwa mlio Dodoma hapo chungulieni nje mnaona ugeni gani mkubwa wa ghafla wana ulinzi na usalama hapo?

Mnajua ni kwanini ulinzi huo umeimarishwa ghafla mchana huu? Muda wowote kuanzia sasa, hayo majina yatatajwa na mchana huu baada ya mapumziko kidogo wajumbe wanarudi upesi ukumbini kufanya mchujo na kuwabakisha watia nia 3 tu ambao kesho ndiyo watashindanishwa ukumbini na hatimaye kupatikana mmoja.

Ninaloweza kusema na ambalo ni fumbo kwenu sisi wazalendo tunamshukuru sana na mzee Philip Mangula, wazee wa CCM na wenye heshima kubwa na mdahalo ule wa juzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, kwani kilichopitishwa kimetokana na matamshi, matakwa na wosia wao na nasema kuwa chama sasa kimerudi katika misingi ya Baba wa Taifa na Watanzania wenzangu haswa wazalendo na wenye uchungu na nchi hii popote mlipo tafadhalini anzeni kufurahi kwani Mwenyezi Mungu amesikia kilio chetu. Nimefurahi na akhsante Mungu. Sasa nitalala usingizi.

Kazi imekwisha, hakuna cha kaskazini wala kusini na maslahi na ustawi wa chama ndiyo umezingatiwa ili kuua makundi ambayo yangekidhoofisha chama.

Mchana mwema nyote ila msikae mbali na radio zenu kwani muda wowote patakuwa na breaking news ya utangazwaji wa majina hayo yaliyoingia 5 bora. Mimi sasa kwa furaha iliyoje nakwenda zangu kufurahi. Nchi imerudi rasmi kwa wazalendo.

Ccm hakuna mzalendo hata kidogo
 
Mpaka hapo matumaini ya UKAWA kwisha
Kwisha wajisalimishe tu mafikilio ya ushindi wayafute vichwani mwao
Hiyo ndiyo CCM.

Ukoo wa panya hazaliwi kondoo,kura tunapiga sisi watanzania na jiandae kisaikolojia kuwa chama cha upinzani kama kanu
 
Salama pekee ya CCM ni wagombea wengine waliokatwa mbali na Lowassa kuwa in agreement na huu uteuzi. Ninaimani walichelewa ili kupata general consensus yao. naamini kabisa leo JK kapiga simu thelathini kadhaa kubembeleza watu.

ofcourse kuna soft targets kama kina kigangwala,nyarandu etc.., ila kuna radicals kama kina Sumaye,Lowassa,Chikawe,Sitta,Mwakyembe, hawa wanatakiwa wawe handled with care.

Sasa nimeanza kuelewa confidence ya Membe ilitokea wapi. He had known all along he was shoe in for the top 5 and may be top 3. as much as i hate to admit, him and magufuli are front runners,save for a strong challenge from Migiro.

But crazier things have happened, god forbid wasimkabidhi nchi Makamba..,we will head for the dogs.
Yaani kwenye Kamati Kuu kuna watu wanaamini Makamba Jnr anaweza kuwa Rais wa Tanzania?

Mimi nadhani huu ni mkakati wa Kamati kuu kutaka Membe ateuliwe kuwa mgombea kwa sababu kama wangeweka wagombea ambao wana ushindani, sidhani kama Membe angefika hata kwenye Mkutano Mkuu.
 
Ipi Na Inaitwaje Mkuu?

Tafuta majani machanga ya Mpera yaoshe then tafunia hapo kwenye jino,litauma for sometime but maumivu yakikata ndio nitolee hapo utasahau kabisa. Hakikisha umetafuna mengi kidogo ili yale maji maji yake yaingie hapo kwenye jino.
 
Unabii karibu kutimia; mafisadi there is no way out.... Tanzania njema kuzaliwa ni lazima apende ama asipende mtu.

Is either now or never nipo na miguu yangu nimeikita kuhakikisha hakuna fisadi anaelekea jumba takatifu. Huu ni mwanzo prepare for surprises!

lets pray but waswahili hawajielw
 
  • Thanks
Reactions: Ame
mwenyekiti ana uakika na watu wake makamba, kama sio membe,kama sio asha huyu magufuli yupoyupo tu hapo atatoswa vibaya .Mwenyekiti anafuata uabiri wa mwenye jina la kiislamu na kikristo au aliyeoa dini nyingine-asha-rose migiro, january makamba -mke mkristo, bakar benard
 
Yaani kwenye Kamati Kuu kuna watu wanaamini Makamba Jnr anaweza kuwa Rais wa Tanzania?

Mimi nadhani huu ni mkakati wa Kamati kuu kutaka Membe ateuliwe kuwa mgombea kwa sababu kama wangeweka wagombea ambao wana ushindani, sidhani kama Membe angefika hata kwenye Mkutano Mkuu.

Vinasaba vinasaba
 
Eti Makamba over Jaji Brigedia Ramadhani, Dk Mahiga, even Mwigulu us better.

Masikini yuke std 7 hakujua CCM ina wenyewe. Hiyo milioni 1 si angenunua pembejeo?

Anyway, I see Team Lowassa voting for Magufuli.
Never, Magufuli na Mamvi haziivi
 
Kwa hakika nimefurahishwa sana na CCM, kuna wagombea wawili nilikuwa sitaki wapite na hawakupita.

Si siri, wa kwanza Nyerere wa pili Lowasa.

Nyerere kwa sababu hafai kuongoza hata nyumba kumi wacha kuwa Rais na Lowasa kwa sababu ni mgonjwa.

Hao waliobaki, yeyote atakaepitishwa ntamkubali kwa roho moja.
 
Back
Top Bottom