Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Kamanda mimi nimefurahi zaidi ya saaaana! Rais gani anahonga hadi wadhamini alafu anatuahidi kukomesha rushwa!? Marafiki zake ni Chenge , Tibaijuka, Rostam na........!!! Tafakaruni watanzania!
Kuna watu niliwaambia kuwa jamaa hafai, wakaniwakia kinyama. Niliwaambia kwa macho meupe kuwa huyu Bw. ENL sio mzalendo kwa taifa na anaonea watu, walinivimbia, nadhani sasa wamenyamaza kimya kama ambavyo nami ningenyamaza kimya kama angepitishwa
 
Hapo ni Magufuli wakuu, tangu nisome Raia Mwema la juzi nikaona kabisa kumbe wengi wetu humu tulikuwa tunakwenda kishabiki, jamaa walizungumzia jinsi Kikwete alivyokuwa anafurahi kuongozana na Magufuli kwenye ziara za Mikoani maana hakuna kuzomewa tofauti na Mawaziri wengine, pi ni mtu aliyechukua fomi bila mbwembwe wala tambo za kusema ooh nitakomesha rushwa au kubeza hii serikali, pia suala la kuwa anatoka kanda ya ziwa ambako kuna wapigaji kura wengi nayo pia imekuwa kete muhimu.
Namtakia kila la kheri avuke hapo japo kwangu sijaonaga msafi huko CCM.

Anafaa kuongoza hili taifa kwa mtizamo wa haraka haraka
 
2015 ilipaswa iwe zamu ya Zanzibar!, Jee kwa majina haya, jee bado kuna uwezekano wa Zanzibar kupatiwa haki yake?!.

Pasco

Mimi hizi siasa za zamu sikubaliani nazo kabisa!!!

Tanzania ni nchi moja, rais atoke popote ilimradi ana ushawishi na uwezo wa kuongoza nchi, full stop
 
Salama pekee ya CCM ni wagombea wengine waliokatwa mbali na Lowassa kuwa in agreement na huu uteuzi. Ninaimani walichelewa ili kupata general consensus yao. naamini kabisa leo JK kapiga simu thelathini kadhaa kubembeleza watu.

ofcourse kuna soft targets kama kina kigangwala,nyarandu etc.., ila kuna radicals kama kina Sumaye,Lowassa,Chikawe,Sitta,Mwakyembe, hawa wanatakiwa wawe handled with care.

Sasa nimeanza kuelewa confidence ya Membe ilitokea wapi. He had known all along he was shoe in for the top 5 and may be top 3. as much as i hate to admit, him and magufuli are front runners,save for a strong challenge from Migiro.

But crazier things have happened, god forbid wasimkabidhi nchi Makamba..,we will head for the dogs.

mkuu samahani naomba kama unaweza ututafsirie basi na sisi kwa kiswahili ukiweza na kiha pia
 
Hapo ni Magufuli wakuu, tangu nisome Raia Mwema la juzi nikaona kabisa kumbe wengi wetu humu tulikuwa tunakwenda kishabiki, jamaa walizungumzia jinsi Kikwete alivyokuwa anafurahi kuongozana na Magufuli kwenye ziara za Mikoani maana hakuna kuzomewa tofauti na Mawaziri wengine, pi ni mtu aliyechukua fomi bila mbwembwe wala tambo za kusema ooh nitakomesha rushwa au kubeza hii serikali, pia suala la kuwa anatoka kanda ya ziwa ambako kuna wapigaji kura wengi nayo pia imekuwa kete muhimu.
Namtakia kila la kheri avuke hapo japo kwangu sijaonaga msafi huko CCM.

Najiuliza, nani zaidi kati ya Magufuli na Membe? Mie nadhani Magufuli ana advantage sana maana Membe kwanza ataathirika na kundi la Lowassa, pili Membe ana makundi magufuli hana, Tatu kashfa ya membe kuwa ktk familia ya mkuu wa kaya yaweza muondolea sifa hiyo, lakini pia ukilinganisha utendaji wa membe na Magufuli una tofautiana sana.

Wana jamvi mnaonaje hili?

Anafaa kuongoza hili taifa kwa mtizamo wa haraka haraka

Sitii neno...you said it all!!
 
membe makamba migiro mangufuli Amina

mhhh hapo Magufuli PM, Amina Vice, Migiro Foreign minister, Makamba wizara ya habari . Ni watu hawana majina makubwa ila walipata washauri wazuri nchi itasonga mbele
 
Hapo ni mzee wa 2tabomoa nyumba za wanaccm 2tabomoa nyumba za wanaukawa lazma ashike inchi
 
Hao wote walioteuliwa hakuna hata mwenye uwezo wa kuongoza hii nchi. Yatakuwa yaleyale ya mkwere.
 
Mbona hali ya kawaida,anatakiwa 1 so lazima wengine wasio na sifa wapishe njia. Hahahahha
 
Yaani bado najiuliza hv ni nani hasa aliyeshika kisu??? Dah wamechinja!!!
 
Anafaa kuongoza hili taifa kwa mtizamo wa haraka haraka

Naungana na ww kaka, jamaa anaweza kama akipenya kwenye uchaguzi Mkuu, ujasiri wake wa kukariri kilomita za barabara na ufuatiliaji madhubuti wa mambo vinampa sifa kwa wananchi.
 
Na sasa tutajua kama ile misaada na harambee zote zilitoka moyoni ama ulikiwa uwekezaji?
 
Jamaa alijiaminisha kuwa ni chaguo sahihi nyodo zake na kujiamini kulizidi
Ukweli mzee huyu Katiba imemponza, walipompa maelekezo yakufanya akafata hakujua wanamng'ong'a kiko wapi mzee wa viwango?
Kwangu mimi wewe ulikuwa hufai Hata kuchukua fomu tu kalime tumbaku sasa,

Ila usisahau unatembea na laana ya Watanzania kwa kupindisha mapendekezo ya Katiba tuliokuwa tunaitaka
 
Mhhh, watu wamekesha humu ndani...!!

Daaaah, yaani ndo kwanza natoka kuamka nakutana na majina haya. Hapa utabiri wangu unaenda kutimia, Magufuli ndiye mgombea wa ccm... Masikini Lowassa...!! Ile mihela aliyokuwa akitapanya sijui yu ktk hali gani?? Hivi wamemkata kwa vigezo gani lakini wadau?? Team yake wameyapokeaje matokeo haya? Yaani namuona Dr Slaa akiingia kiulaini sana pale Mgogoni

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom