Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Ndivyo nilivyoomba jana kwenye maoni yangu nilipoanzisha Thread ya kuwaomba CCM Watuletee Magufuli kama mgombea anayekubalika na vyama vyote

Labda kwa maccm tu, hakuna mtu msafi ccm yote mafisadi tu
 
Wizara ya ujenzi kwenye ripoti ya mwisho ya CAG ilikumbwa na ufisadii wa shiling ngapi vile?
 
I smell something fishy! Hivi Migiro si amewahi kuwa kiongozi wa kimataifa?ni mwanamke na pia ni international figure! Well..well..well, , tulishatahadharishwa humu kuwa care na hawa watu wa kimataifa, some big fishes are behind them...mnamtaja Magufuli but...but..I smell sonething..

ndo maana mimi nikasema ngoja matokeo yatoke ndo tutajua...watu wamejipanga kwenye hii nafasi....mazingira yote ya kuenguliwa edo mapema ni watu waliojipanga kuhakikisha edo haleti jam ndo maana akakatwa mapemaaaaaa....hapo walipofikia hakuna cha kuwashinda kirahisi tu wabadili mtizamo wao...
 
Kwa kifupi,CCM mwaka huu inaweza kutoa picha ya anguko kuu! kuelekea 2020! endapo watagawanyika!
 
Walimtaka lowassa ili wapate pa kukichinjia chama badala yake tumewaletea MSAFI wanahaha hawajui waje na mbinu gani.
Kuna mtu kakwambia haya mambo huyajui unajua tu diamond na alikiba, sasa nakubaliana nae, hujui chochote hapa, nenda celebrity ndio saizi yako mambo ya umbea,sio hapa maana unaandika usichokijua, nani msafi?
 
Walimtaka lowassa ili wapate pa kukichinjia chama badala yake tumewaletea MSAFI wanahaha hawajui waje na mbinu gani.
magufuri alisimamia kwa ukamilifu mnada wa nyumba za serikali na hiyo kitu itamtafuna hadi kaburini , kumbuka hili ni kati ya mambo mabaya kabisa kuwahi kufanywa na viongozi katika nchi hii .
 
Back
Top Bottom