Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Kwani Monduli kafukuzwa anachong'ang'ania ikulu ambayo hata ajachangia tofali ni kitu gani?. Awaambie Monduli wajipange rodini wampokee kama shujaa angalau ajifariji kwa wale wa nyumbani kwake
mkuu umenichekesha sana. du!
 
confirmed Makamba out of top 3

Huyo was non factor aliwekwa tuu kukamilisha list,sitashangaa camp lowasa wakitupa support yao nyuma ya Amina Ally maana there is no chance in hell Amina Ally will beat opposition in general election...hapo itakuwa mwaga mboga nimwage ugali.
 
Hapa sawa
 

Attachments

  • 1436635942634.jpg
    1436635942634.jpg
    29.8 KB · Views: 267
Mimi ningekuwa Lowasa, huu ni wakati mwafaka wa kulipiza kisasi. Nitafanya hivyo kwa kuhamia chama kingine. Sijui kama anajitambua kwamba ana majority ya kura ukilinganisha na hao vilaza waliobaki. Ahamie chama kingine kukimaliza chama kilichomaliza ndoto yake aliyoishi nayo au niseme malengo yake ya kisiasa yameyeyuka. Alijiudhuru uwaziri mkuu kumstahi mshikaji wake mnafiki. Hadi mtoto wa huyo mnafiki anafanya party ndani ya mfungo.
Lowasa, CCM si mamako, babako,mwanao au nduguyo wa damu. Wengi wamefaidi fadhila zako na wema wako lakini sasa wewe ni fisadi. Toka CCM, watanzania kwanza hawakitaki chama hiki!

Mkuu unaongea nini hapa..?

Aende wapi..?

watanzania wapo milion 40
 
If Amina Salum gets the Nod, could Membe make the coup and be the running mate?if they entince Mafuguli with PM position?

I don't see Magufuli accepting VP position, its too sterile for him. Membe anafaa kabisa kwani he is too boring.

He is also unfit for PM, since he is way too unpopular in the party.
 
UKAWA utakuja kusikia tu Fulani anagombea ... hahaha! Hii Top 3 ya CCM yeyeto atakayepita anaingia IKULU
 
hayo mambo ya nyumba yamejadiliwa kamati ya maadili na kina mkapa waliomtuma kuuza , hapa ni kwa wapiga kura hayo hayapo ukumbini acheni kuturudisha hatua nyingi nyuma
 
Haya sasa sio tetesi tena
 

Attachments

  • 1436636057486.jpg
    1436636057486.jpg
    51.2 KB · Views: 441
Back
Top Bottom