Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Jk anajiita mwenyekiti yeye mwenyewe ameshanganyikiwa?
 
mtoto wa msoga huyo...hatabiriki eti..we si umeona panya alivyotolewa ndani ya mtungi!!..
Wewe nae toa UPOPOMA wako hapa.Kwani huyo wa msoga ananihusu nini? Mimi naongelea mwanaume wa shoka Lowassa sio huyo bwana legelege JK.
 
Wanabodi leo nguvu ya Lowasa ndani ya CCM imejidhihirisha wazi na hii ni kutokana na wajumbe wanaomsapoti kuamua kupiga kura za bora tukose wote na hili likifanyika watamchagua mgombea mwanamke tena wa kutoka Zanzibar na hilo likifanikiwa tu Lowasa njia nyeupe Magogoni kwani kwa gharama alizotumia na ambazo anaendelea kutumia mpaka sasa na kama kweli ACT ni chama chake na kwa jinsi alivyotumia nafasi ya kutafuta wadhamini kujitangaza nchi nzima na kuona jinsi anavyokubalika je akigombea kupitia ACT au chama chochote huyo Mama ataweza kupambana na Mamvi? Kwa mnaoanglia mkutano wa CCM unaoendelea sasa hivi imedhihirisha wazi EL ni chaguo la wajumbe karibu wote wa mkutano huo kwani kila linapotajwa jina lake ukumbi wote unalipuka kwa kushangilia je hamuoni kama hao wajumbe wanaweza mpigia mgombea mwanamke ambae kwa hali halisi Nchi yetu bado haijawa tayari kuongozwa na Mwanamke? Pia Mamvi ana sapoti kubwa sana ya wabunge wa CCM akiondoka nao si atakua amekimaliza nguvu Chama Cha Mapinduzi na kujisafishia njia kuingia Ikulu?
 
Pogia amina.dola.oshuke.



Loh

Mnatufanya.wazinzu.woteee


1700-2100.leo loh
 
hili neno haijapata kutokea amelitoa kwa lowasa...kila alipokwenda lowasa wakati wa kutafuta wazamini alikuwa akisema hivyo.....
 
jk bado ana mtu wake ambaye ni yule mama(UN REJECT)...yohana gambe magufuli anaweza kuchinjwa vilevile..membe alitolewa na jk kumpoza mamvi.
 
Pinda ana hasira wakati hajapoteza hela nying hata haizidi 20M! Wakati Lowassa kapoteza zaidi ya 200B
200b!!! wakati hapa nawaza nitapata vipi tuition fee ya semester ijayo. Maisha sio sawa.
 
ROAD.JPG
magufuli hatukutaki....UKAWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

unadhani anajenga barabara kwa mshahara wake? ukatae mfumo anaoutumikia-CCM
 
Back
Top Bottom