Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Mimi nasubiri Lowassa atoe tamko tu mimi nifanye yangu.Huu ni uonevu uliokithiri..I hate JK!

mtoto wa msoga huyo...hatabiriki eti..we si umeona panya alivyotolewa ndani ya mtungi!!..
 
ROAD.JPG
magufuli hatukutaki....UKAWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Pinda ana hasira wakati hajapoteza hela nying hata haizidi 20M! Wakati Lowassa kapoteza zaidi ya 200B
 
Lowasa yupo mwili pale lakini akili zake zinawaza ikulu
 
Back
Top Bottom