Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Naona Gaudencia Kabaka anachezaaaa huyoooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbele kwa mbele shimoni, teh teh teh,
Halafu unajua mbele kwa mbele husababisha maambukizi ya gonjwa hatari la UKIMWI?? CCM wanakaribia kufa kwa gonjwa hatari
huu wimbo unaoimbwa "wacha waisome namba heeee....sisiemu mbele kwa mbeleee".... dah wimbo umeniuma huu!!.....yan maneno gan ya kutuambia sisi hayo!!!?
Zko sawa huenda we ndo umeangalia tofaut mkuu.
Sioni shamrashamra kabisa kama tulivyozoea, naona ni sherehe ya kulazimishana, najaribu ku'imagin ingekuwa shamrashamra ya aina gani ingekuwa ni Mh. LOWASA?
Let us wait and see......
October is very near mkuu
Mbona tulisikia tetesi kuwa mlikuwa mpige kura za hasira kwa team yenu kumpigia Amina! Au kulikuwa na change of heart?Asha tumemla! Amina hauziki, tutamuuza wapi? Jembe magufuli from halmashauri kuu to mkutano mkuu!
Hao wajumbe hawakushikiwa pistol kichwani!
Kapita kwa asilimia 87.1%, ishu yako bado una kundi lile walilochinjiwa baharini! Kubali ukweli, mlishakatwa, kajipangeni jinsi ya kulipa mlichokopa!
Ok nmekusoma mkuu halmashaur iliruka ha2a 2.4% na co 21.4% twende kaz.Angalia nilicho'quote mwanzoni, kama unaona iko sahihi naamini una tatizo katika halmashauri yako ya kichwa.
Ok nmekusoma mkuu halmashaur iliruka ha2a 2.4% na co 21.4% twende kaz.
Watanzania ni wepesi sana wa kuzugika na kwa mtaji huo CCM itatawala kwa muda mrefu saaaana.
Hii inanikumbusha 2005. Watu wengi sana walifurahi lakini mwishowe ndo hao hao wakaishia kuvunjika moyo.
Na hapa natabiri tena kama nilivyotabiri miaka 10 iliyopita [natamani bcstimes.com ingekuwa bado ipo tuyarejee yote niliyoyatabiri wakati ule].
Huyu jamaa naye ni bomu kabisa na huenda ni bomu kuliko hata Kikwete.
Hana kabisa presidential cachet.
Hata uelewa tu wa kanuni za diplomasia nyepesi nyepesi unampiga chenga.
Mtaja nambia kama bado tuko hai......
John Magufuli kura 2104
Hongera sana John!
Jk kambeba sana huyu mama