Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka saivi tushapigwa ngumi ya uso ukawa tujipange kuwapiga ngumi ya chembe hawa mabwege
Na anajua idadi ya vitimoto vyote nchini
Watanzania ni wepesi sana wa kuzugika na kwa mtaji huo CCM itatawala kwa muda mrefu saaaana.
Hii inanikumbusha 2005. Watu wengi sana walifurahi lakini mwishowe ndo hao hao wakaishia kuvunjika moyo.
Na hapa natabiri tena kama nilivyotabiri miaka 10 iliyopita [natamani bcstimes.com ingekuwa bado ipo tuyarejee yote niliyoyatabiri wakati ule].
Huyu jamaa naye ni bomu kabisa na huenda ni bomu kuliko hata Kikwete.
Hana kabisa presidential cachet.
Hata uelewa tu wa kanuni za diplomasia nyepesi nyepesi unampiga chenga.
Mtaja nambia kama bado tuko hai......
Nadhani Jaramogi Odinga atakuwa amefurahi sana rafiki yake Pombe kapata nomination ..
huu wimbo unaoimbwa "wacha waisome namba heeee....sisiemu mbele kwa mbeleee".... dah wimbo umeniuma huu!!.....yan maneno gan ya kutuambia sisi hayo!!!?
Huyu ndiye afadhari ya waliopo mbele yetu, yawezekana akawa mbovu zaidi ya Kikwete, ila ndio afadhari. Mbona Obama nae yuko tofauti na matarajio ya wengi????
Tiiiiized baaaaaaaiiiiibiiiiiiiiiiiiiiiiii.
NOTE: Nimeshindwa kuweka vibendera!
mkuu hizi ndio kama mind games za Jose Mourinho malalamiko hyatachelewa nakuunga mkono kabisa
mkuu hizi ndio kama mind games za Jose Mourinho malalamiko hyatachelewa nakuunga mkono kabisa
Huyu uliyem-quote nimeona jana anamuunga mkono Balozi Amina, sijajua ktk wale 38 alikuwa anamsapoti yupi.
Kwa hiyo ndugu yangu chaguo lako ktk wale 38 alikuwa nani au ni ukawa na yeyote atakayesimamishwa?
mtoto wa msoga huyo...hatabiriki eti..we si umeona panya alivyotolewa ndani ya mtungi!!..
Jumla ya kura 2422,
Zilizoharibika 6
kura safi 2416
Magufuli >kura-2104 sawa na 87.1%
Asharose >kura-59 sawa na 2.4%
Amina >kura-253 sawa na 10.5%
Unaona sasa mlivyo na akili nyepesi...
Hivi kabisa kwa akili yako ulidhani mimi nilikuwa namuunga mkono kwa dhati Da Amina?
Really? Seriously?
Prove me wrong!
Niliona comments zako, kama "haukuwa au haukuwa" vyote sawa.
Prove me wrong!
Niliona comments zako, kama "haukuwa au haukuwa" vyote sawa.