Juzi
Kibatala; hiyo simu ina line?
Urio; Hakuna
Kibatala; ulimpa swila simu na line hau bila line?
Urio; nilimpa na line.
Kibatala; hiyo line ipo wapi?
Urio; sijui
Leo
Ws: baada ya kukutana na urio nini kiliendelea baada ya kutoa maelezo?
Swila: nilimuomba simu kwa ajili ya upelelezi.
Ws: baada ya kukukabidhi simu nini kiliendelea?
Swila: aliniomba nimpe line ya Vodacom kwa sababu nilijua Kama anawasiliana na mbowe kwa telegram taarifa zitabaki kwenye simu.
Hawa watu hawakujipanga kufremu hii kesi ya michongo.
Sent from my Lenovo TB-7305X using
JamiiForums mobile app