LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Tumbili alisha tupwa nje na yule dada.Tumbili hajatia timu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumbili alisha tupwa nje na yule dada.Tumbili hajatia timu?
Noma kweli yaani !!Bananga hivi sasa ana lishwa na mkewe ambae nae yumo kwenye hilo kundi la wabunge wa NEC ya Magu.
Amehudhuria asije nyimwa msosi.
Bananga kawa mwanamume wa Dar. Ana lelewa.
Katika mambo yaliyonishangaza kwenye kesi inayoendelea, ambapo Watu 19 wasio na Chama wanapigania roho zao Mahakamani kwa kung'ang'ania uanachama wa Chadema, huku wakiwa wametimuliwa kitambo, ni Makundi makubwa ya wana-CCM ndani na nje ya Mahakama wakifuatilia kesi hiyo.
Miongoni mwa wanachama hao wa CCM yumo anayeitwa ALLY BANANGA kutoka Arusha, ambaye bado haijajulikana sababu hasa za yeye kukurupuka kutoka Arusha hadi Dar kwa mambo yasiyomhusu.
Yako mengi yanayoendelea kwenye viunga hivi, kaeni mkao wa kula.
Chadema vs Chadema
Wanawake hawana huruma, na hivi hana kibarua sijui itakuwaje?Tumbili alisha tupwa nje na yule dada.
Ndio namaanisha bungeni ila ili wapate uhalal huko ni lazima wawe attached cdm ndio maana hata cdm hawataondoka mpaka 2025 licha ya kufukuzwaLabda bungeni , lakini Chadema ilishawatimua kitambo tu
Anaenda kumsupport mkewe?Katika mambo yaliyonishangaza kwenye kesi inayoendelea, ambapo Watu 19 wasio na Chama wanapigania roho zao Mahakamani kwa kung'ang'ania uanachama wa Chadema, huku wakiwa wametimuliwa kitambo, ni Makundi makubwa ya wana-CCM ndani na nje ya Mahakama wakifuatilia kesi hiyo.
Miongoni mwa wanachama hao wa CCM yumo anayeitwa ALLY BANANGA kutoka Arusha, ambaye bado haijajulikana sababu hasa za yeye kukurupuka kutoka Arusha hadi Dar kwa mambo yasiyomhusu.
Yako mengi yanayoendelea kwenye viunga hivi, kaeni mkao wa kula.
Huyo mkewe ni mmoja ya hao vicheche lazima afuatilie maana anafugwa kwa mshahara haramuKatika mambo yaliyonishangaza kwenye kesi inayoendelea, ambapo Watu 19 wasio na Chama wanapigania roho zao Mahakamani kwa kung'ang'ania uanachama wa Chadema, huku wakiwa wametimuliwa kitambo, ni Makundi makubwa ya wana-CCM ndani na nje ya Mahakama wakifuatilia kesi hiyo.
Miongoni mwa wanachama hao wa CCM yumo anayeitwa ALLY BANANGA kutoka Arusha, ambaye bado haijajulikana sababu hasa za yeye kukurupuka kutoka Arusha hadi Dar kwa mambo yasiyomhusu.
Yako mengi yanayoendelea kwenye viunga hivi, kaeni mkao wa kula.
CCM inapenda sana na kuwajali sana akina mama. Ni mama zetu, dada zetu na wapenzi wetu. Tuko nyuma yao kila walipo. Tunalaani sana chadema kwa kuwanyanyasa akina mama hawa 19. Haki itapatikana tu.Katika mambo yaliyonishangaza kwenye kesi inayoendelea, ambapo Watu 19 wasio na Chama wanapigania roho zao Mahakamani kwa kung'ang'ania uanachama wa Chadema, huku wakiwa wametimuliwa kitambo, ni Makundi makubwa ya wana-CCM ndani na nje ya Mahakama wakifuatilia kesi hiyo.
Miongoni mwa wanachama hao wa CCM yumo anayeitwa ALLY BANANGA kutoka Arusha, ambaye bado haijajulikana sababu hasa za yeye kukurupuka kutoka Arusha hadi Dar kwa mambo yasiyomhusu.
Yako mengi yanayoendelea kwenye viunga hivi, kaeni mkao wa kula.
Wacha mkuu!! Jesca Kishoa ashamtupa Kafulila?Tumbili alisha tupwa nje na yule dada.
Samahani, Bananga huyu ndiye aliyekuwa Kampeni Meneja wa Lissu?Bananga ni jobless😁😁😁😁
Hakuwahi kupewa cheo hicho ila alikuwa mpiga debe tuSamahani, Bananga huyu ndiye aliyekuwa Kampeni Meneja wa Lissu?
Who cares?Labda bungeni , lakini Chadema ilishawatimua kitambo tu
Kafulila alisha temwa. Kishoa yuko na buzz mwingineBananga lazima aje kumsindikiza mkewe Hawa Bananga kwakua yeye kwasasa ndiyo analipa ada za watoto n.k
NB:
Usishangae siku moja ukimuona Kafulila naye akija kumsindikiza mke wake hapo badala ya kushindia magazeti nyumbani.